Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitumie njia gani au dawa gani ya kuacha kabisa kuvuta sigara
Ukitaka kuacha kuvuta sigara kula sana ndizi mbivu utaacha kuvuta sigara.Nitumie njia gani au dawa gani ya kuacha kabisa kuvuta sigara.
Hii ndio dawa ya kweli ya kuacha kuvuta ambayo hata mimi niliitumia nikaacha kabisa kuvuta: strong personal will to stop smoking. Hakuna sijui vidonge au unga wa kunywa kusaidia kutibu tatizo la uvutaji.Ok...mi nimefanikiwa kuacha sigara baada ya miaka kama mitano ivi, naamini dawa ni wewe mwenyewe,kaa chini ainisha hasara za sigara,alafu angalia faida zake,hasara ni nyingi kubwa ni ya kiafya lakin pia kuna watu hutaweza kukaa nao au kuwa nao karibu sababu ya harufu na aibu,basi nikajiwekea malengo,kwanza nikaanza,leo sivuti,siku ilipoisha nikasema pia kesho sivuti,kama unavoona ni malengo madogo na yanatekelezeka,sio rahisi inahitaji uvumilivu piaikaisha wik,nkasema kama wik nimeweza basi wik ijayo sivuti,mpaka ikawa tabia,unapokuwa kwenye hiyo program jiepushe na washkaj wavutaj au mazingira yatayofanya upate hamu ya kuvuta,ilie nicotin iliyo mwilini itkuw inapoteza nguvu na mwishowe inaisha hata hamu husikii tena,ukiskia harufu unajiskia vibaya!
Hivi huyu bwana Mzizimkavu hawezi kua hii dawa?
MziziMkavu hakosi dawa yeyote utakayoitaka na hata ukitaka maombi ya kanisani au msikitini pia anayo, ila dawa ya kuacha sigara kama ulivyoambiwa hapo juu ni wewe mwenyewe kuamua tu hutaki basi, kila kitu mpaka utumie dawa!
wakuu ni zaidi ya miaka 5 najaribu kuacha sigara lkn nashindwa.naombeni msaada wenu.shukrani
inafu iz inafu