Jinsi ya kuandika research

Jinsi ya kuandika research

Mbona topic ni ndefu sana kwan asichague topic fupi nyepes kwa mfano prevalence of malaria in pregnant woman in mbeya in July 2017
 
Mbona topic ni ndefu sana kwan asichague topic fupi nyepes kwa mfano prevalence of malaria in pregnant woman in mbeya in July 2017
Ndio lengo la kuleta humu mkuu ili nipate shule zaid ....nahic imekaa vizur
 
Nione FASTA nikuandalie KILA KITU kwa bei cheap SANA. Aandae Tshs 200,000/- Tu
 
Nione FASTA nikuandalie KILA KITU kwa bei cheap SANA. Aandae Tshs 200,000/- Tu
Pitia comments za ma chief hapo juu ....wametema shule ya kutosha tu NA hawajadai hata senti ...hao hata sasa wakisema wachaji pesa mtu unashawishika kutoa kwa kuwa wameshakuonyesha kwsmba wanajua
 
Pitia comments za ma chief hapo juu ....wametoa shule ya kutosha tu NA hawajadai hata senti ...hao hata sasa wakisema wachaji pesa mtu unashawishika kutoa kwa kuwa wameshakuonyesha kwsmba wanajua
Mkuu achana naye huyo wewe si umeona hiyo profile pic yake amemuweka nani.

Ila shemela ana chura mzee😀😀(jokes)
 
Cha kwanza anatakiwa achague topic ambayo 1*itamuwia urahisi kuwapata respondents
2*respondents watakuwa huru kutoa michango yao bila hofu wala hisia za unyanyapaa
3*isiwe inaleta mgongano wa moja kwa moja na taasisi husika au mamlaka.. hii itampa wepesi kwenye kupata vibali vya utafiti na ruhusa
4* iwe realistic
ZIADA: AWE MJANJA KUCHAGUA TOPIC AMBAYO HATA AKIMALIZA CHUO KUNA MAENEO AKIENDA KUOMBA KAZI AKIONESHA ENEO ALILOTAFITI NA AINA YA UTAFITI ALIOFANYA ITAMPA FAIDA YA KUFIKIRIWA ZAIDI..
......
**JAMBO LA PILI*
inatakiwa a'set title yake iwe inaonesha wazi variables ambazo ni
... *independent-intermediate-dependent variables* (vipimo vyenye kuonyesha uhusiano/usababishi wa kimatokeo kati ya jambo na jambo)
mfano "huduma za hospitali na matokeo ya tiba"... hapa itakuwa variable huru ni huduma za hospitali (huduma zote) variable ya kati yaweza kuwa (muundo wa sera ya afya, utoaji wa vifaa tiba, hali ya majengo na mazingira ya hospitali n.k) variable tegemezi itakuwa matokeo ya tiba (yawe mazuri, ya wastani au mabaya).......
...
**JAMBO LA TATU**
anatakiwa atambue lengo la utafiti ni kutaka kupima nini.. NA TITLE ISIWE IMESHAJIBU UTAFITI WENYEWE
...
**JAMBO LA NNE**
Title ya tafiti yake isiwe ndefu yenye kuchosha kusoma na iwe yenye kueleweka moja kwa moja (wastani wa maneno 15 ni mzuri)
MFANO
"negative perceptions of many patients towards medical health personel"
Kwa maoni yangu ingefupishwa
"Patient's perception on medical health personnel in government hospitals" utaongezea study case . Au unaweza kutoa hiloneno ON ikawa TOWARDS
...
MASWALI YA KUJIULIZA KWENYE HIYO TITLE.
1. Amejihakikishiaje kama kuna negative perception ya patients tena kuwaelekea wahudumu wa afya? Je kuna utafiti umeshasema hayo?... ana enough literature sources to review ili a'support argument hii?.. ISIONYESHE TAYARI MAJIBU ANAYO MFUKONI ITAKUWA SIYO TAFITI HALALI
2. je sio ndefu sana?
3. Je atapata access kirahisi kuwafikia wahojiwa wake? Je atawapata hospitali au uraiani? (Vibali na ruhusa hautomoa urasimu?)
4 . Variable zinapimika? Lengo la utafiti ni kupima nini?
.....
ASITISHIKE NA MANENO MENGI..
Anaweza kuitwist kidogo ikaleta maana
Au akabadili (title huwa zinabadilika tunasema hatufungi ndoa na title za research.. any time unabadili unakamata inayofanyika)

vanmedy ,

Mkuu, heshima yako.
Hapa hata nami nitamleta Binti yangu umpe shule ya research .

Angalizo, usije ukamfundisha hadi na tuition tuition , tuition.
 
Nadhan Hii ni wewe na sio ndugu yako anyway zingatia taratibu zote za uandishi WA research report lakini lazma uwe na proposal ambayo itakuongoza
 
Angalia miluzi mingi humpoteza ...........Naamini huko chuoni kuna watu wa kumuongoza toka topic selection hadi mwisho. Waachieni wahusika wafanye kazi yao.
 
Mkuu achana naye huyo wewe si umeona hiyo profile pic yake amemuweka nani.

Ila shemela ana chura mzee😀😀(jokes)
Vyuma vimekaza akijumlisha NA stress za Mzee Wenger siku c nying atakuwa kama Dkt Luis Shika wa nyumba za Lugumi.....Chura ndio ugonjwa wangu mkuu .
Mkuu achana naye huyo wewe si umeona hiyo profile pic yake amemuweka nani.

Ila shemela ana chura mzee😀😀(jokes)
 
vanmedy ,

Mkuu, heshima yako.
Hapa hata nami nitamleta Binti yangu umpe shule ya research .

Angalizo, usije ukamfundisha hadi na tuition tuition , tuition.
Jamaa anajua sana mkuu ....Alafu watu wengi walio nondo huwa hawanaga mbwembwe nyng .
 
Title ndefu kama notes, Mkuu proposa itakusumbua sana utarudishwa mpaka basi, pia angalia hiyo topic yako ina ongozwa na Theory ipi, na Theory hiyo ipo?

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Angalia miluzi mingi humpoteza ...........Naamini huko chuoni kuna watu wa kumuongoza toka topic selection hadi mwisho. Waachieni wahusika wafanye kazi yao.
Hawa viumbe wakiwa na shida zao jaribu kuwasikiliza mkuu, kama uwezo wa kumsadia shida yake unao bas msaidie tu NA kama huwez just mueleze tu ......Sijaona ugumu wa kuja jf kuuliza ukizangatia na mm ni mwanafunz pia maana huwa naamin Jf ni chuo kinachotembea
 
Inaonesha tayar anajua problem, negative perception. Hili neno sidhan kama lilihitajika sana
 
Hawa viumbe wakiwa na shida zao jaribu kuwasikiliza mkuu, kama uwezo wa kumsadia shida yake unao bas msaidie tu NA kama huwez just mueleze tu ......Sijaona ugumu wa kuja jf kuuliza ukizangatia na mm ni mwanafunz pia maana huwa naamin Jf ni chuo kinachotembea
Nime ku PM
 
Ndio maana kwenye research mwanafunzi anapewa supervisor.. na hazuiwi kudadisi kwingineko.. hapa haandikiwi tafiti anakusanya mawazo ya awali.. *na inatambulika hii..*..
Sasa kwenye data collection akisema kaajiri research assistants utasema kafanyiwa wewe[emoji2] [emoji2] [emoji2] ...
Kauliza swali la kawaida tukimnyima hapa hata akigoogle atapata mkuu
Kaka ni kweli ni jambo LA kawaida kuuliza
 
Unawezaje kuandika research ambayo hujaifanya .Ninavyojua Kwanza anatakiwa aanze na research proposal. Halafu mbona vinafundishwa vyuoni? MSAADA!!! ATAFUTE HICHO KITABU ASOME ATAELEWA NDIO AJE HUKU KAMA KUNA AMBIGUITY
 
Back
Top Bottom