Yes...hata 2mths kama una speed nzuri unauza..yaan daily uhakikishe unasaga mifuko 10-20 after 2 mothns unauza...hongera .ILA KUWA MAKINI MNO MNO..wanageukaga hao .anakupa mahesabu hayo .ukiangalia umepoteza mwaka mzima then kifusi kisome vby...hakikisha mnanunua wote mawe,mnachenjua wote dhahab na mnauza kwa uwazi ..mwingine anakuambia mshee lakin anakupga mwanzo mwisho ananunua mawe ya 5000...na kufukuzia kwa mwaka aisee itabid mtaji mnene...bila hvyo unazika hela yako tu ..unakuja kupata kamgao kaduchu...
Nakuambia uwe makini na hicho kifusi mnachofukuza kwa mwaka mmoja..wanunuzi wazuri wa vifusi hawatakag mavifus makubwa..
Sababu huwa ni 1....wanashindwa kupata sample nzuri kupeleka maabara( maana inabid apate sample toka chini kbs had juu kabisa akibug imekula kwake( .....wanaamini kbs 40% utakuwa umefake .means umenunua mawe yasio na kiwango..utawaita wee hawaji ng'o utakaa hata 1yr unabembeleza waje ila ukiwa na kifusi kama gari 5..asbh wanapima kesho mnamalizana...
Ukiona mtu anafukuzia kifusi kwa mwaka mzima hao 100% wana plant zao..au mmoja ana plant( kama wameshare)....so hao hawana hasara hao..wataosha 3tyms had 4th nakutoka na dhahabu ...