Jinsi ya kuanzisha mazungumzo na mwanamke uliyekutana naye mara ya kwanza

Wanawake wa huku kwetu sio waelewa kihivyo mkuu, Hili andiko lako linapply kwa wanawake wa nchi za ughaibuni
 
Kanuni zipo lakini kuna wakati hazifanyi kazi kutokana na mhusika/mazingira yalivyo kwahiyo lazima uwe tayari kufreestyle.
 
Huu uzi hautufai wazee wa kula kimasihara maana wengine hatuzungumzi na wanawake ni unashika mkono mnaongoza lodge
 
Chief

Nimekuelewa vizur Sana

Je, hii yetu ya mbagala rangi tatu tutaiweka vipi yaani
 
kwanin mnapenda sana kuvipa thaman ivi viumbe, nyie ndio mnaowachochea kuwapa nguvu ya usawa
 
Those rules don't apply to classy ladies, only apply to hoes. A lady of class would like you to chase her in a more masculine manner. If you know, you know what I mean.
NB:
You'll only catch a hoe's attention with money, cause that's what she's after.
 
😂😂😂 Yamekua haya tena.
 

Uzi ilibidi uishie hapa
 
😂
 
Ukishaona anaongea nawe vizuri unaweza mwambia lengo lako la kumfata. Na badili mada na kuongea ukitakacho. Ongea naye mazungumzo ya kujuana, unafanya nini, unaishi wapi, una miaka mingapi kwenye kazi yako.
Very very Wrong.......you should know you are not on Job Interview
 
Kuna manzi nilijuwana nae juzi leo nimekula mzigo alafu qumah mnato kinyama mpka inatoa kile kisauti. Cha mnato mi nilienda straight nae kumbe nilimvutia, sikuchukuwa namba alikuja itafut kwa mshkaji alienikuta nae nashtukia nmba ngeni na nilikuwa nishasahau kaama niliongea na mwanamke mchana
 
We mwanaume wa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…