Jinsi ya kuchemsha chai ya rangi

Jinsi ya kuchemsha chai ya rangi

Uji mwepesi au uji mzito? una pilipili manga au hauna?

Hayo maswali yaweke tumsubiri Prof sas akija na pishi lake la uji tumuulize...bahati nzuri huwa anaruhusu maswali...lol
 
Last edited by a moderator:
Jamani naona kila mtu uji uji mpaka kwenye PM natafutwa ohoo tulete uji wenzio twaumbuka uku.
ahaaahaaaaaa poleni sana
 
MAHITAJI

- Maji safi

-Majani ya chai

-Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.)

-Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.)


Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji

JINSI YA KUCHEMSHA
Weka chombo chako chenje maji jikoni,tia majani ya chai(usiweke mengi sana itafanya chai yako kua chungu), acha ichemke , epua chai yako weka kwenye chombo ulicho andaa, chai yako ipo tayari kwa kunywa.

MAKOSA:kutia sukari kabisa si vizuri kwani kila binadamu anakiasi chake cha sukari anacho tumia.

Aksanteni sana chai njema.
Mkuu, sisi watoto wa kitanga hatuwezi kunywa chai hiyo. Tunasema hiyo sio chai,ni mate. Pishi la chai lazima kuwe na hiliki, mdalasini pilipili manga au kwa wengine wanatupia majani ya mchaichai..
 
Hiyo ni juisi ya maji ya moto mpaka uongeze vifuatavyo iliki mdalasini tangawizi mchaichai na mengineyo
 
Asante sana ,Nilikuwa najiuliza hivi fomula ya kupika chai ikoje ingawa ni jambo dogo sana

wengine wanasema majani yakichemkia sana kwenye chai yanakuwa sumu

Hivyo unaacha maji yachemke ndio unaweka majani yakichemka kidogo unaipua

wengine wanasema unaweka maji na majani pamoja vikichemka pamoja unaipua

Ipi ni sahihi kati ya hizi?
 
MAHITAJI

- Maji safi

-Majani ya chai

-Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.)

-Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.)


Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji

JINSI YA KUCHEMSHA
Weka chombo chako chenje maji jikoni,tia majani ya chai(usiweke mengi sana itafanya chai yako kua chungu), acha ichemke , epua chai yako weka kwenye chombo ulicho andaa, chai yako ipo tayari kwa kunywa.

MAKOSA:kutia sukari kabisa si vizuri kwani kila binadamu anakiasi chake cha sukari anacho tumia.

Aksanteni sana chai njema.

sukari ya kuungia mezani nasikia si nzuri imekaaje hii
 
Asante sana ,Nilikuwa najiuliza hivi fomula ya kupika chai ikoje ingawa ni jambo dogo sana

wengine wanasema majani yakichemkia sana kwenye chai yanakuwa sumu

Hivyo unaacha maji yachemke ndio unaweka majani yakichemka kidogo unaipua

wengine wanasema unaweka maji na majani pamoja vikichemka pamoja unaipua

Ipi ni sahihi kati ya hizi?

Mi skuizi hata majani sitii. Naweka spices ndani ya maji ilichemka chai tayari kwa kunywewa.

Labda nipike ya maziwa ndo naweka majani.
 
Mkuu, sisi watoto wa kitanga hatuwezi kunywa chai hiyo. Tunasema hiyo sio chai,ni mate. Pishi la chai lazima kuwe na hiliki, mdalasini pilipili manga au kwa wengine wanatupia majani ya mchaichai..

Ahaahaaaahaaa
Pole sana mtoto wa kitanga, fuatilia vizuri majibu yangu mbona umesha jibiwa...
 
Asante sana ,Nilikuwa najiuliza hivi fomula ya kupika chai ikoje ingawa ni jambo dogo sana

wengine wanasema majani yakichemkia sana kwenye chai yanakuwa sumu

Hivyo unaacha maji yachemke ndio unaweka majani yakichemka kidogo unaipua

wengine wanasema unaweka maji na majani pamoja vikichemka pamoja unaipua

Ipi ni sahihi kati ya hizi?
Achana na waitwao "wengine" cheki Prof kasemaje apo juu, fuata...
 
MAHITAJI

- Maji safi

-Majani ya chai

-Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.)

-Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.)


Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji

JINSI YA KUCHEMSHA
Weka chombo chako chenje maji jikoni,tia majani ya chai(usiweke mengi sana itafanya chai yako kua chungu), acha ichemke , epua chai yako weka kwenye chombo ulicho andaa, chai yako ipo tayari kwa kunywa.

MAKOSA:kutia sukari kabisa si vizuri kwani kila binadamu anakiasi chake cha sukari anacho tumia.

Aksanteni sana chai njema.

duh!
chai nyepeeeesi hiv?!
chai kaavuuuu!
 
Back
Top Bottom