Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Santeeee kwa hili somo mie nilikuwa sijui ati!
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAKOSA:kutia sukari kabisa si vizuri kwani kila binadamu anakiasi chake cha sukari anacho tumia.
Aksanteni sana chai njema.
Hapo umetuingiza chaka hapoo!!
MAHITAJI
- Maji safi
-Majani ya chai
-Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.)
-Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.)
Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji
JINSI YA KUCHEMSHA
Weka chombo chako chenje maji jikoni,tia majani ya chai(usiweke mengi sana itafanya chai yako kua chungu), acha ichemke , epua chai yako weka kwenye chombo ulicho andaa, chai yako ipo tayari kwa kunywa.
MAKOSA:kutia sukari kabisa si vizuri kwani kila binadamu anakiasi chake cha sukari anacho tumia.
Aksanteni sana chai njema.