Jinsi ya kuchemsha chai ya rangi

Jinsi ya kuchemsha chai ya rangi

Hahahahahaha lol!!!! Chezeya watoto wa dot.com "watoto wa baba zao na mama zao", ukimwambia nitengenezee chai ya rangi anaweza kuweka majani ya chai jikoni bila maji lol!!!! au mayai ya kuchemsha au ya kukaanga hata hajui aanzie wapi na nini cha kufanya. Wa kulaumiwa ni wazazi ambao kwa kuwa nyumbani kuna HG basi hawafunzwi chochote kuhusu mapishi. Sasa mtoto kama ni binti na anabahatika kuolewa wazazi wiki chache kabla ya ndoa ndio wanahangaika kutafuta shule ya mapishi. Wekeni tu hata namna ya kupika hata chai ya maziwa, mayai ya kuchemsha n.k. watoto wa dot.com watafaidika.

Haha asante ....utakua ni profesa wewe lol Angel Nylon BAK farkhina mmekunywa chai??
 
:A S-eek: hii chai aisee sinywi, na kama ndiyo mke wangu atashangaa namwambia nimeshiba na sinywi chai yake tena!
 
:A S-eek: hii chai aisee sinywi, na kama ndiyo mke wangu atashangaa namwambia nimeshiba na sinywi chai yake tena!

aahaaahaaaa dah ujaonja wewe na kama utaijalibu, utachemsha ndoo na kuipiga yote... ya ukwerii iyo
 
We hujui chochote, mbona umetufundisha mchemsho wa chai, now dayz tunaweka mchai chai, iliki, mdalasin, na mazaga kibao hiyo ndo chai, yako ni mchemsho
 
We hujui chochote, mbona umetufundisha mchemsho wa chai, now dayz tunaweka mchai chai, iliki, mdalasin, na mazaga kibao hiyo ndo chai, yako ni mchemsho

dah ndugu kwanza nakupongeza kwa kufuatilia pishi letu...ongera sana pili punguza haraka apa tunanza from simple to complex uwezi kuanza kutembea bila kutambaa... dullao
 
halafu mbona umeweka majani kabla maji hayaja chemka?

inatakiwa maji yachemke kwanza halafu ndo majani

Inaonyesha ww ni mwanafunzi makini...tumeweka majani kabla ili kukinga kiwango chetu cha chai nazani unajua evaporation process... ahaahaaahaaa dah umenipata mapema sana ongera.
 
halafu mbona umeweka majani kabla maji hayaja chemka?

inatakiwa maji yachemke kwanza halafu ndo majani

Inaonesha ww ni mwanafunzi makini sana...tunaweka majani kabla ili kulinda kiasi chetu cha chai,nazani unajua kuna process inaitwa evaporation. .. aahaahaaa dah umenipata mapema sana
 
mwana sayansi kim, na somo la afya darasa la pili, ndo enzi hizo tulifundishwa hivyo. Umenkumbusha mbali kweli aisee
 
Mie chai yenye iliki sijui nini sinywi kabisaa,
halafu siku hizi kuna teabags,maji tu yanachemshwa!!
We hujui chochote, mbona umetufundisha mchemsho wa chai, now dayz tunaweka mchai chai, iliki, mdalasin, na mazaga kibao hiyo ndo chai, yako ni mchemsho
 
dah ndugu kwanza nakupongeza kwa kufuatilia pishi letu...ongera sana pili punguza haraka apa tunanza from simple to complex uwezi kuanza kutembea bila kutambaa... dullao
tufundishe na kupika mayai ya kuchemsha asee.
 
Haaaahahaahhaa...! Nimefurahi sana asubuhi hii, naomba mods wahamishie katika komedi.

Chai hii imenikumbusha mbali sana, na kuna ile nyingine watu wanakosaga majani ya chai, wanaanza kwa kuunguza sukari kwanza, sukari ikishaungua na kuwa nyeusi unajazia maji unasubiri yachemke.
 
Kutokana na kutokuwepo na maswali kuhusu pishi letu la chai...

pishi jipya laja sooon...
 
Back
Top Bottom