Jinsi ya Kuepuka Kuibiwa Mafuta Unapojaza.....

Aahaahaaaaaa
 
DAA KWA KWELI WIZI WA MAFUTA UMEVUKA MIPAKA...MM NAONGEA NA KAKA YANGU MJESHI ANANIPA YALE MAKONTENA YAO NAWEKA LITA ISHIRINI NKIFIKA HOME NAJAZA KWENYE TANGI
Wewe ndo unashirikiana na kaka yako kuiiba mafuta ya serikali eeh. We ngoja
 
Pump imechezewa au haijafanyiwa calibration muda mrefu. Kuna wakala wa vipimo WMA kazi yake ni hio kukagua mita na vipimo vingine kama 1kg means 1kg au 1L means 1L etc
Sasa nimeelewa kwa nini baadhi ya vituo vya mafuta hujaa sana magari mpaka kupanga foleni (huwa nashangaa sana) wakati vingine vinakuwa na gari moja au hakuna kabisa.

Huwa najiuliza hawa watu hawana shughuli za kufanya mpaka kupanga foleni ya kujaza mafuta?

Na mimi nisivyopenda msongamano huwa naenda vile visivyokuwa na magari[emoji23]
 
juzi nilimwambia aniwekee mafuta ya 80000 akajikuta anaweka ya 180000, yaani hapo niliwaibia wao. sasa kazi kwake mhudumu, halafu alikuwa ni mwanamke, na hivyo wanawake SIWAPENDI ,nikaondoka zangu huyoooooooooi
huyo atakuwa alishawachapa sana wateja wengine sasa hiyo inaitwa kulipa. ila pia inaweza kuwa bahati mbaya tu kujisahau.
 
gari gani hiyo mkuu pronto, manake hilo tank tumbo la mamba
 
Ni kweli boss lakn duuu ni shidaaaah
 
Kwa kweli hapo labda umix JiLusekelo na Valeur afu ushushie na safari lager

Ha ha ha, hapo kweli unaweza kufika hiyo level, na pembeni kuwe na dogo dogo sasa ili akuongezee confidence.
 
Self-service gas pumps....kiboko ya wajanja wajanja.

Unajiwekea mafuta kwenye gari yako bila wasiwasi.

 
[emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha, hapo kweli unaweza kufika hiyo level, na pembeni kuwe na dogo dogo sasa ili akuongezee confidence.

Yeah... huyo ndo anaongeza vocabularies na swaga za kina Chris Tucker... LOL
 
150,000 ni lita 75, sasa usiniambie kuwa hujaona gari yenye tank kubbwa zaidi ya hilo wakati gx100 tu inabeba 60+lts.
Tena kwa bei hiyo huwezi pata hata hiyo lita 75...
 
Mimi huwa natumia njia ya pili ya kuweka kwenye kidumu,sasa huwa nawaacha wahudumu hoi sana,maana nilivyo na ninavyofanya sifananii kabisa.(maana nipo kibosi bosi )
umenichekesha sana, hapo watu wanakuona kama hauko sawa kumbe mwenyewe una yako hapo hutaki kuibiwa akili yako unaijua mwenyewe mjini hapa. Nimeipenda sana hii
 
Nilishashuhudia jamaa full tank capacity 60 ltrs anadaiwa alipe 78ltrs!
Duh yaani tank yake full capacity 60lts ila pump inasoma 78lts?!! Ndio haya niliosema display inaonesha lita 1 pump inajaza 700ml.
 
Kwa hiyo ukicornfirm kwa kidumu ukakuta imesoma sahihi, hakuna namna nyingine ya kuibiwa ukiacha hiyo ya kureset?
Namna ingine ya kuibiwa ni ile ya Bajaji/bodaboda aliekutangulia kuweka ya Buku 3 halafu ukija wewe unaetaka ya Buku 20 mhudumu harudishi mita mwanzo, bali anaanzia hapohapo ilipoishia bajaji na kuendelea, unajikuta umewekewa ya buku 17 only,

Ogopa sana Sinza Kijiweni na Ubungo Mataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…