frank nyantu2
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 298
- 162
Hahahaha!! Ulimkomeshaje?juzi nilimwambia aniwekee mafuta ya 80000 akajikuta anaweka ya 180000, yaani hapo niliwaibia wao. sasa kazi kwake mhudumu, halafu alikuwa ni mwanamke, na hivyo wanawake SIWAPENDI ,nikaondoka zangu huyoooooooooi
Wahudumu wanyewe hulipwa kiduchu mno!! Some times huruma iwepo jamaniHukufanya vema. rudi ulipie hayo mafuta
Na mm umeniacha hoi mkuu ha ha ha haMimi huwa natumia njia ya pili ya kuweka kwenye kidumu,sasa huwa nawaacha wahudumu hoi sana,maana nilivyo na ninavyofanya sifananii kabisa.(maana nipo kibosi bosi )
Ha ha ha ha haHii ya kidumu kuna "sheli" flani hivi maeneo ya Tegeta waligoma kuniwekea kwenye kidumu. Nilipowauliza kwanini wakanambia ni kwa sababu za kiusalama... nami kwa sababu za kiusalama nikaondoka salama na fedha yangu ikiwa salama...
Sitakagi ujinga kwenye usalama wa pesa yangu... malabuku zao na nusu!!
hujanielewa umekurupukaWewe ndo unashirikiana na kaka yako kuiiba mafuta ya serikali eeh. We ngoja
Umesha notice ukitumia njia hii wale wahudumu huwa wana nuna!Mimi huwa natumia njia ya pili ya kuweka kwenye kidumu,sasa huwa nawaacha wahudumu hoi sana,maana nilivyo na ninavyofanya sifananii kabisa.(maana nipo kibosi bosi )
Wananuna mno,ndio maana na mimi nikajua kuna kitu NAWAKOSESHA.Umesha notice ukitumia njia hii wale wahudumu huwa wana nuna!
Hahahaa JiLusekelo.......kama nakuona vile babuUkienda supamaketi unatoka na jiLusekelo la kutosha kabisa... unajipatia upako tariiibu.
Mkuu cheki ya kujaza upepo ilivyoIle ya kujaza upepo ni myth tu. Ila kuna pump zimechezewa au zina muda mrefu hazijanyiwa calibration hivyo unaweza kukuta yenyewe kwenye lita 1 inajaza 700ml etc.
Wakala wa vipimo anahusika hapa.
Kuna pale GBP sinza na Victoria naonaga magari hayakatiki..Sasa nimeelewa kwa nini baadhi ya vituo vya mafuta hujaa sana magari mpaka kupanga foleni (huwa nashangaa sana) wakati vingine vinakuwa na gari moja au hakuna kabisa.
Huwa najiuliza hawa watu hawana shughuli za kufanya mpaka kupanga foleni ya kujaza mafuta?
Na mimi nisivyopenda msongamano huwa naenda vile visivyokuwa na magari[emoji23]
India iyo chief..Duh...kwahio hapo ana uwezo wa kujaza mafuta halafu anabana haijazi kitu ila inahesabu tu?!! Aisee...halafu hio ni India au Pakistan?
HhaahhahaaaHii ya kidumu kuna "sheli" flani hivi maeneo ya Tegeta waligoma kuniwekea kwenye kidumu. Nilipowauliza kwanini wakanambia ni kwa sababu za kiusalama... nami kwa sababu za kiusalama nikaondoka salama na fedha yangu ikiwa salama...
Sitakagi ujinga kwenye usalama wa pesa yangu... malabuku zao na nusu!!
[emoji28][emoji28]umenichekesha sanaHii ya kidumu kuna "sheli" flani hivi maeneo ya Tegeta waligoma kuniwekea kwenye kidumu. Nilipowauliza kwanini wakanambia ni kwa sababu za kiusalama... nami kwa sababu za kiusalama nikaondoka salama na fedha yangu ikiwa salama...
Sitakagi ujinga kwenye usalama wa pesa yangu... malabuku zao na nusu!!
Hahaha umetishaHii ya kidumu kuna "sheli" flani hivi maeneo ya Tegeta waligoma kuniwekea kwenye kidumu. Nilipowauliza kwanini wakanambia ni kwa sababu za kiusalama... nami kwa sababu za kiusalama nikaondoka salama na fedha yangu ikiwa salama...
Sitakagi ujinga kwenye usalama wa pesa yangu... malabuku zao na nusu!!
Duh.!Juzi nilimwambia jamaa aweke ya 40,000 na alipomaliza kama Mungu nikashuka na kuangalia nikakuta ameweka ya 20,000/= nilipomuuliza mbona hajaweka ya arobaini alishtuka na kusema alijua ndiyo niliyomuagiza.
Nikamwambia aongeze ya ishirini ila sikumwona kufuta zile namba na kuanza tena 00000.
Dah.!Hii ya kidumu kuna "sheli" flani hivi maeneo ya Tegeta waligoma kuniwekea kwenye kidumu. Nilipowauliza kwanini wakanambia ni kwa sababu za kiusalama... nami kwa sababu za kiusalama nikaondoka salama na fedha yangu ikiwa salama...
Sitakagi ujinga kwenye usalama wa pesa yangu... malabuku zao na nusu!!