Jinsi ya kuepuka mwanamke asipate ujauzito

Withdarwa inatesa sana nakumbuka enzi za Chuo daah nomaaa
 
saivi hutaki ujauzito. sasa fata ushauri wa humu umfundishe mwenzio siku mnataka sasa mtoto ndo hapatikani sijui mtafanyaje.
 
Hahhahahah hapo kazi mzee
 
Yaani umwage utamu nje !! Atakavyokung'ang' ania wakati wa kuchomoa hutaamini. Jaribu uone
 
Kabla hamjafanya achukue kitambaa kilaini kitafaa kile cha bandeji achovye mafuta ya castrol oil hicho kitambaa kiwe kimezungushwa kama kgoroli na kiuzi cha kuning'inia ili kutoa kwa urahisi aingize kwa bibi nusu saa tu mpige show no mimba
 
Hz aina za uzazi wa mpango za kisayansi zinaleta changamoto sana. Kuna dada1 rafiki yangu alikua akipata shida kwa ndoa yake ana watoto3 akaamua kufunga kabisa uzazi weeee hua anaumwa mara kwa mara
 
Kabla hamjafanya achukue kitambaa kilaini kitafaa kile cha bandeji achovye mafuta ya castrol oil hicho kitambaa kiwe kimezungushwa kama kgoroli na kiuzi cha kuning'inia ili kutoa kwa urahisi aingize kwa bibi nusu saa tu mpige show no mimba
Hayo mafuta ya castrol oil yanapatikana wapi? Na yanapopatikana yanajulikana kwa jina gani hata nikiulizia niweze kupewa/kuyapata?
 
mwambie anywe frajili baada ya mechi within 24 hrs,
mimba ataiskia tbc
 
Njia rahisi sana ni kuchomoa unaposikia zinataka kuja. Kukojoa nje lakini kunataka moyo, maana ndo utamu unapoanzia ila ukizoea ni rahisi sana. baada ya tendo la kwanza ukitaka round ya pili kwanza nenda kakojoe mkojo ili usafishe mrija vinginevyo ukijifanya kuzikamua kuna baadhi zinabaki na ukifanya tu tayari ataondoka na mimba
 
Hahaaaa!!!! Pole sana mkuu,withdrawal inahitaj umakin sana!!!!! Ukinogewa tuuu inakula kwako unakua baba mtarajiwa bila kupenda
 
Je ukirudia tendo hata mara4 napo anywe lita4?
Jee.... Kama utalala nae usiku kucha!? Kila tendo lita mojaa ama mnapoona hamrudii tena ndio anywe?
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Unarudia mara 4 ili kuprove nini? Huna kazi za kufanya??
 
pulizia kwa nje mdau......ila mwambie apunguze manjonjo bila hivyo utajisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…