Ndugu wana JF Doctor amani na iwe kwenu, mimi ni kijina mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo moja, nikitumia condom katika mambo yetu, jamaa angu anakuwa weak na kukosa hamu kabisa na kulala usiku kucha. Binti nimepima naye tupo safi ila sasa anaogopa kugegedwa hivo hivo kwa kuhofia kubeba ujauzito,
na mazingira yanakuwa yanatukutanisha akiwa siku za hatari, je,,, nikifanya nae bila kutumia kinga na akawa kwenye siku hatari, tutafanyaje ili fertilization istake place? Je kuna dawa ya kuzuia mimba isitungishwe tofauti na uzazi wa mpango?
Naombeni kusaidiwa, kwa alienielewa anisaidie tafadhali....!!