Huko ninkuota ndoto za mchana yaani Ist 4 wheel drive iizidi hilux kweli hata kama sio four wheel mkuu ur wrong kwa logic zako na hako ka beby walkerSijui kichwa chako kimejaza magovi ya mbwa kichwani.
Punguza shobo.
dodge
Habari wakuu, nahitaji kununua hii gari Toyota(ist)nafahamu kuna za cc1200 na cc1400, lakin nimeambiwa niwe makini hiz za cc1400 nyingi ni zina option ya 4WD na baadhi hazina, so naomba msaada nitumie vigezo vipi kufahamu yenye 4WD na isiyo na 4WD maana nahitaji ya cc1400 isiyo na 4WD .
Sijawahi ona IST yenye 4WD mwenye kujua hii gari atuwekee hapa hata picha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]IST iwe na 4WD isiwe nayo kamwe siwezi kuendesha gari ya kijinga kama hii.
Bora kuendesha TI na SI sio huu uharo wa IST.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Wewe ndiye Bashite nini!IST iwe na 4WD isiwe nayo kamwe siwezi kuendesha gari ya kijinga kama hii.
Bora nisiwe na vyote ila siwezi kuendesha na kumiliki IST kamwe siwezi.Wewe ndiye Bashite nini!
Unaweza kuta hata Baiskeli huna!
Najuta kutokununua IST mafuta yamepanda saivi si utani ..kikubwa usafiri ni kufika unapoenda..kwa wakati.Bora nisiwe na vyote ila siwezi kuendesha na kumiliki IST kamwe siwezi.
PointIST iwe na 4WD isiwe nayo kamwe siwezi kuendesha gari ya kijinga kama hii.