Ndiyo mara yangu ya kwanza kukuona ukitukana. Comment zako zote unakuwa na busara sana. Kwa vile umejua basi msamehe tu na naamini likely ni ex wako au mzazi mwenzio...
Nakuaminiaga pia i was shocked!Asante mkuu,ngoja nifute post,na wewe futa,lol
Nakuaminiaga pia i was shocked
Ila comment ipo haiez ondoka ile
Ndio uwasanue wana kuwa kuna kamchezo hako
hongera kwa uungwana mkuu..wacha ngiende kula kanyi nginde laasante mkuu,yaani nimeshangaa kama ni ex wangu basi kazi ipo,yapo mengi aliyonifanyia na hili pia?? I guess i will always live in his shadow....
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa *monitoring device* kwenye namba yako.
Watumie na wengine kuwajulisha matukio haya.View attachment 786304
mm nijulishe namna ya kufowardpiga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa *monitoring device* kwenye namba yako.
Watumie na wengine kuwajulisha matukio haya.View attachment 786304
Ukiona hivyo maana yake simu yako iko salama ama? Aliyeelewa anifafanulie
hongera kwa uungwana mkuu..wacha ngiende kula kanyi nginde la
ukipiga kama mtu anakufatilia itaonyesha number ya huyo mtu "Fowarded to like 07894567234,lol nimegoogle hio number sijapata majibu ya kuridhisha,lol sijui ni li robot?lol
Jaribu kusearch kwenye Airtel money
Pole mkuu inaonyesha umekuta makubwa mpaka unatamani kukuche