Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aika mbeLakucha.
Wairikire wose
Mh!! Nimedukuliwa, sijui kwa mipango ipi tena!!
....kumuondoa huyo mdukuaji piga ##21#ukipiga kama mtu anakufatilia itaonyesha number ya huyo mtu "Fowarded to like 07894567234,lol nimegoogle hio number sijapata majibu ya kuridhisha,lol sijui ni li robot?lol
....kumuondoa huyo mdukuaji piga ##21#
Dada kakuomba ufute hii post yako [emoji23]Ndiyo mara yangu ya kwanza kukuona ukitukana. Comment zako zote unakuwa na busara sana. Kwa vile umejua basi msamehe tu na naamini likely ni ex wako au mzazi mwenzio...
Pitia kila Uzi ukomenti nimepita yaani asubuhi utaiona hii hapa fasta.Sina mpango wa kulala leo
Haisaidii. Imeshakwotiwa na watu karibu wanne tayari. Ameshaonyesha ustaarabu wa hali ya juu kwa kuomba msamaha. Tumeshamwelewa sana tu...Dada kakuomba ufute hii post yako [emoji23]
Aisee! basi mimi nilikuzingatia wewe tu ila kama wengi wamequote kweli haisaidii ata ukifuta...Haisaidii. Imeshakwotiwa na watu karibu wanne tayari. Ameshaonyesha ustaarabu wa hali ya juu kwa kuomba msamaha. Tumeshamwelewa sana tu...
Hahah!!Sina mpango wa kulala leo
Haiwezi kuwa Sticky Yani ....Haijakizi vigezooMie nashauri hii topic iwe sticky ni moja ya topic zinazowafungua watu na usalama wao,,,thanks,na sorry kama nimewakwaza
Dah...hata Mimi nimeshangazwa...Unapocy habari au taarifa sehemu credit the source, huo ndio ustaarabu.
PamojaUjuzi