Jinsi ya kufahamu kama simu yako au line yako inafatiliwa na mtu mwingine

Jinsi ya kufahamu kama simu yako au line yako inafatiliwa na mtu mwingine

hapo una gundua simu iliyo diverted au sime iliyo wekewa spy apps? kama ni spy apps au IMEI track ni ngumu kujua na ngumu kuondoa rahisi hivyo...

Labda utueleze zaidi utendaji wake wa kazi... na mimi nahisi ina fanya kazi ktk hizi simu zilizo diverted... kawaida kupitia mifumo original ya simu husika ambayo hata simu ya tochi zina hizo huduma... ila ukienda mbali zaidi ni ngumu kujua kwa hayo hapo juu...
 
samahani wakuu,nimecheck sikutegemea kuna mtu ananiwinda??was shocked,angry and confused nilivyoiona hio number...sina ma baby dad mimi na ex wangu tuliachana kitambo…kiruuu 🙁🙁
Nimecheka jinsi ulivyomwagia "maji machafu" kama ukonnae face to face vile!ngoja tu mperuzi tujue ni nani huyu adiye na adabu dada!
 
Punguzeni jaziba zipo huduma watu ujiunga wenyewe kama za voice mail. Kwa kujua au kutojua when not reachable za mitandao mbalimbali number kama 07802091904 inaweza kuwa si mteja itakuwa inahusika na mtandao kwenye huduma au mhisika alikosea yote yanawezekana mfano sasa tigo wameanzisha huduma hiyo na mwanzo walimuingiza kila mtu, a kuzima simu utasikia mteja haipatikani ila baada ya tone record sauti, mtu mwenye huduma hiyo akipiga hiyo anaweza kukuta kuna forwarded *#61# so ingawa kwa uzoefu wangu call forwarding ni gharama lazima uwe na salio la pesa sio mda wa kifurushi ili hiyo call iweze kuwa forwarded kwenye number husika, huduma hiyo pesa ukawa mara mbili kwa aliyepiga na wewe mwenyewe kwenye simu yako na sio kifurushi, na kuna wakati kama huna pesa na simu imezimwa ilikuwa mpigaji anapokea ujumbe ukisema salio lako halitisho kupiga simu, mimi binafsi niliwahi kuweka vocha mpaka 5000 bado naambiwa salio halitoshi, tangu nimejifunza mambo ya mawasiliano bado sms forwarded haijawai kufanyika hapa labda kwenye mambo ya usalama, tu asante kwa kuwashilisha mwenye la kuongeza kupiga ruksa
 
Punguzeni jaziba zipo huduma watu ujiunga wenyewe kama za voice mail. Kwa kujua au kutojua when not reachable za mitandao mbalimbali number kama 07802091904 inaweza kuwa si mteja itakuwa inahusika na mtandao kwenye huduma au mhisika alikosea yote yanawezekana mfano sasa tigo wameanzisha huduma hiyo na mwanzo walimuingiza kila mtu, a kuzima simu utasikia mteja haipatikani ila baada ya tone record sauti, mtu mwenye huduma hiyo akipiga hiyo anaweza kukuta kuna forwarded *#61# so ingawa kwa uzoefu wangu call forwarding ni gharama lazima uwe na salio la pesa sio mda wa kifurushi ili hiyo call iweze kuwa forwarded kwenye number husika, huduma hiyo pesa ukawa mara mbili kwa aliyepiga na wewe mwenyewe kwenye simu yako na sio kifurushi, na kuna wakati kama huna pesa na simu imezimwa ilikuwa mpigaji anapokea ujumbe ukisema salio lako halitisho kupiga simu, mimi binafsi niliwahi kuweka vocha mpaka 5000 bado naambiwa salio halitoshi, tangu nimejifunza mambo ya mawasiliano bado sms forwarded haijawai kufanyika hapa labda kwenye mambo ya usalama, tu asante kwa kuwashilisha mwenye la kuongeza kupiga ruksa
Hiyo unaoiongelea ni voice mail ambapo ukimpigia mtu simu hapatikani itakutaka uache ujumbe wa sauti ambapo mhusika akiwasha simu ataweza kuusikiliza. Hii huduma ni ya kulipia. Mfano mzuri ni tigo
Ila call forwading unaweka namba mbadala yaan unapopogia ikiwa namba yako haipatikani ai upo busy utaweza kupokea kupitia namba nyingine. Mfano.
Ww namba yako ni 075 halafu umeweka 0713 mtu akikupigia haupatikani au uko busy (not reachable) itaenda kweny namba 0713 hapa itakulazimu uwe na salio la mitandao yote au km unasalio kwenye. Km namba yako ni tigo halafu ukaweka ya tigo hapo haina haja ya kuwa na kifurushi cha mitandao yote. Hapo unatumia kifurushi chako.
N:B
Ulichozungumzia ni voice mail na siyo call forwarding
 
Hiyo unaoiongelea ni voice mail ambapo ukimpigia mtu simu hapatikani itakutaka uache ujumbe wa sauti ambapo mhusika akiwasha simu ataweza kuusikiliza. Hii huduma ni ya kulipia. Mfano mzuri ni tigo
Ila call forwading unaweka namba mbadala yaan unapopogia ikiwa namba yako haipatikani ai upo busy utaweza kupokea kupitia namba nyingine. Mfano.
Ww namba yako ni 075 halafu umeweka 0713 mtu akikupigia haupatikani au uko busy (no reply) itaenda kweny namva 0713 hapa itakulazimu uwe na salio la mitandao yote au km unasalio kwenye. Km namba yako ni tigo halafu ukaweka ya tigo hapo haina haja ya kuwa na kifurushi cha mitandao yote. Hapo unatumia kifurushi chako.
N:B
Ulichozungumzia ni voice mail na siyo call forwarding
Call forwarding, or call diversion, is a telephony feature of some telephone switching systems which redirects a telephone call to another destination, which may be, for example, a mobile telephone, voicemail box or another telephone number where the desired called party is available. Call forwarding was invented by Ernest J. Bonanno.[1] In North America, the forwarded line usually rings once to remind the customer using call forwarding that the call is being redirected. More consistently, the forwarded line indicates its condition by stutter dial tone. Call forwarding typically can redirect incoming calls to any other domestic telephone number, but the owner of the forwarded line must pay any toll charges for forwarded calls. Call forwarding is often enabled by dialing *72 followed by the telephone number to which calls should be forwarded. Once someone answers, call forwarding is in effect. If no one answers or the line is busy, the dialing sequence must be repeated to effect call forwarding. Call forwarding is disabled by dialing *73. This feature requires a subscription from the telephone company. Also available in some areas is Remote Access to call forwarding, which permit the control over call forwarding from telephones other than the subscriber's telephone. VOIP and cable telephone systems also often allow call forwarding to be set up and directed via their web portals.

In Europe, most networks indicate that unconditional call forwarding is active with a special dial tone. When the phone is picked up it is immediately apparent that calls are being forwarded.
 
me naomba namna ya kuunga diverts na nikwaajiri ya usalama wa mahusiano yangu
 
Sijawahi sikiaga message forwards au message divert....vipi huo ujuzi haujagunduliwa bado au ni Mimi ndo siufahamu
 
Back
Top Bottom