Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntumie mie learner mwayahaaaaahhhha dah ! ndo chanzo cha kuisambaza ujue!
nitaichukua nikutumie !Ntumie mie learner mwaya
Na mimi mbiti[emoji85] [emoji85] [emoji85]nitaichukua nikutumie !
hhahha hebu kumbuka na ubonge ule nahangaika kukata mauno !heeeeeeeeeeee pyeeeeNa mimi mbiti[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haha sasa kama buno unalo unaachaje kulizungusha?hhahha hebu kumbuka na ubonge ule nahangaika kukata mauno !heeeeeeeeeeee pyeeee
Duuh nashukuruMpwa sio maza ako...
Huo ni ugonjwa!Tiba???naumwa?!!!
hahaha uno gumuuuu limejiunga humo humo na kiuno kalio bas hujui wapi lilipoHaha sasa kama buno unalo unaachaje kulizungusha?
mafuta gani hayokuna mafuta flan hiviii unakua unapaka kiunon na mazoez kinakuaje lainiiiiiiiiii
Mazoezi tu!mafuta gani hayo
mazoezi ya aje, au ndo kuandika namba kwa kiunoMazoezi tu!
Yap!yap mdogo mdogo utaweza!!mi sasa hivi naweza vyote km wale wa singeli wale![emoji23]mazoezi ya aje, au ndo kuandika namba kwa kiuno
nipe twisheni basiYap!yap mdogo mdogo utaweza!!mi sasa hivi naweza vyote km wale wa singeli wale![emoji23]