Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23] [emoji23] [emoji23] namba nane tu fanya at least 10 minutes!!mdog mdogo kuanzia wiki mpk mwezi hivi utakaa sawa!nipe twisheni basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] namba nane tu fanya at least 10 minutes!!mdog mdogo kuanzia wiki mpk mwezi hivi utakaa sawa!nipe twisheni basi
haya ngoja nikomae mdogo mdogo lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] namba nane tu fanya at least 10 minutes!!mdog mdogo kuanzia wiki mpk mwezi hivi utakaa sawa!
[emoji23] [emoji23] hakuna mwanzo inakua ngumu kidogo!!!haya ngoja nikomae mdogo mdogo lakini
Nkienda speed nsijeshtua mifupa sio kwa kukaza huku.
ahsante mpendwa ngoja nidownload "bakanja"Jifunze kucheza bolingo za fally ipupa utajua tu dadangu.
Hutu hapa dada yangu...ukimaliza let's mrejeshoahsante mpendwa ngoja nidownload "bakanja"
Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk ila kiuno kinakua hakina ushirikiano msaada.
BAK ka video ka kutwerk please 😀
Cc Miss Natafuta na MBITIYAZA wataalamu wa hizi kazi
Hutu hapa dada yangu...ukimaliza let's mrejesho
Daaah kweli kazi ipo...ngoja nicheki sa ivi ni saa ngapi...
Ok,unataka kiwe laini ili ukipe kazi gani?nijibu ili nikusaidie mama
Kiuno tu au lazima ipewe support ya nguvu na yule mnyama sijui mdudu anaeitwa chura?
Nafikiri ni mazoezi na mazingira pia, uswahilini ni balaa kwa hayo mambo.
kiwe kilaini ili niwe nacheza nikiwa na mood ya kufanya hivo
[emoji23] [emoji23] hakuna mwanzo inakua ngumu kidogo!!!
Kingine uwe umevaa tight tu unajipima utaona changes tartiibu
Dude limeamshwa....
Sebuleni hapakaliki, Chumbani hakulaliki hadi kiuno kilainike.
Ndio maana wanaume wengine siku hizi hawataki kuvuliwa mwanandani hadi wajue kama yaliyomo yamo kweli..!???
Mbitiyaza anakiuno kama cha mbitiHivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk ila kiuno kinakua hakina ushirikiano msaada.
BAK ka video ka kutwerk please 😀
Cc Miss Natafuta na MBITIYAZA wataalamu wa hizi kazi
Huyo MBITIYAZA unamjua mkuu!Mbitiyaza anakiuno kama cha mbiti
Mtoto wa kisukuma kutoka ng'ungumarwaHuyo MBITIYAZA unamjua mkuu!