Jinsi ya kufanya kiuno kigumu kiwe laini

[emoji23] [emoji23] [emoji23] namba nane tu fanya at least 10 minutes!!mdog mdogo kuanzia wiki mpk mwezi hivi utakaa sawa!
haya ngoja nikomae mdogo mdogo lakini
Nkienda speed nsijeshtua mifupa sio kwa kukaza huku.
 
Jifunze kucheza bolingo za fally ipupa utajua tu dadangu.
 
 
Dude limeamshwa....
Sebuleni hapakaliki, Chumbani hakulaliki hadi kiuno kilainike.

Ndio maana wanaume wengine siku hizi hawataki kuvuliwa mwanandani hadi wajue kama yaliyomo yamo kweli..!???
 
Mbitiyaza anakiuno kama cha mbiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…