Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Nilianza kukubaliana nawe ila kwa hoja kuwa ukristo ndio chanzo cha maasi hapo tushapoteana mkuu.

Hapana bado hatujapoteana. Nahisi tuko kwenye njia kuelekea kujua ukweli na tutakutana kwenye pointi ile. Tunaweza pitia njia tofauti lakini lengo litatimilika tu.
 
Ngoja nitaanzisha thread inayohusu kabla ya kuzaliwa tulikuwa wapi na baada ya kufa tunaenda wapi.



I read, word by word...i agree with power of MEDITATION...i use it most of time for many yrs nw...

BUT...BUT....unaanza to cross the lines #Annael ...
Kabla hatujazaliwa TULIKUWA SPERMS AND FEMALE EGGS....xy or xx chromosomes ziliungana mimba ikatongwa tukazaliwa...PERIOD...PERIOOOOOOD...!!!

Na tukifa, unazikwa kaburini, unaoza, NOWHERE TO GO....ukifa umekufaaa, kwishaaa...perioooood....!!!!

Don't cross those lines utadanganya watu hapa....kuna watu maisha yao yako hovyo humu, WATAANZA KUJIUA BUREEE WAKIZANI kuna maisha bora huko mbeleni...wako, so USIWAAMBIE WATU ETI KABLA HATUJAJA DUNIANI TULIKUWA SOMEWHERE...au baada ya KUFA TUTAENDA SOMEWHERE OR MBINGUNI....watu watajiua huku...wako watu hamnazo.....

So Bottom line, ukifa tunakulia wali na pilau, na juice, soda, maji, kisha tunakuaga, na kukuzika, ardhini, sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi... MWISHO WA HABARI YAKO...NO where utaenda baada ya hapo...!!!
About meditation kweli ina nguvu it depends how much umewekeza kifikira....in short meditation ni CONCENTRATION ya kiwango cha juu, kuhusu jambo fulani...na utafanikiwa sbb umeweka kila wazo na vitendo ktk jambo ulilo concentrate sana sana...!!! So Spirit together with actions at highly concentrated mood, long time practice...make you succeed for wht u aimed for....!!!
 
I read, word by word...i agree with power of MEDITATION...i use it most of time for many yrs nw...

BUT...BUT....unaanza to cross the lines #Annael ...

Kabla hatujazaliwa TULIKUWA SPERMS AND FEMALE EGGS....xy or xx chromosomes ziliungana mimba
Nimekuelewa maana yako hapa.
Lakini ndugu inanibidi niseme ukweli.
Kwanza hii ya sperms na egg kutengeneza mtoto ni hali ya reproduction katika ulimwengu huu wa 3D.
Na meditation haina limitation.
Kwakuwa nimeahidi nitaleta thread ya kuhusu wapi tumetoka na tunaenda wapi naomba nisiongee kila kitu hapa.
 
Mkuu hivi nikikuuliza meditation hasa ni nini kwa upana zaidi utaniambia ni nini?

Nitakujibu kwa kifupi. Maana tukisema kwa upana ni steps nyingi sana unatakiwa upitie. Wengine wanasoma mpaka 13 degrees kuwa very powerful au worshipful.

Ni ile hali ya kuweza kujiunganisha na nafsi yako au kuweza kuaccess ulimwengu wa kiroho. Kufunga milango ya fahamu ya damu na nyama na kuwa ndani ya infinite dimensions world.
 
New age stuff. Yaani wabongo ndo wanaamka leo. Kina Pasco wana thread hii tangu siku nyingi. Hakuna jipya hapa, ni ukengeufu tu.
 
Annael

Ebu niambie kama kuna dini inafundisha hivi eti nguvu unazo ww mwenyewe!!dini zote ni michango na kufundisha utegemezi kwa Allah au Mungu!! bt ukumbuke wanasayansi wenyewe kuna sehem wanafika sehem wabakwama na kukir kuwa kuna super natural power!!af ww unasema Mungu does not exist!!hao mabingwa wa meditation tu wanashindwa kuzuia kuzeeka,kuzuia kufa na vingine vingi!!si wanasayansi wala wote wanaukomo wao!!ni kweli kuna nguvu fulani ambayo binadam ameumbwa nayo inayoweza kumsaidia ktk mambo flani flani lakini ni kwa asilimia ndogo!!DONT BE TO STRAIGHT TO WRITTEN IDEAS
 
Last edited by a moderator:
najua inabore kuquoet maandish bt no way!!
ebu niambie kama kuna dini inafundisha hivi eti nguvu unazo ww mwenyewe!!dini zote ni michango na kufundisha utegemezi kwa Allah au Mungu!! bt ukumbuke wanasayansi wenyewe kuna sehem wanafika sehem wabakwama na kukir kuwa kuna super natural power!!af ww unasema Mungu does not exist!!hao mabingwa wa meditation tu wanashindwa kuzuia kuzeeka,kuzuia kufa na vingine vingi!!si wanasayansi wala wote wanaukomo wao!!ni kweli kuna nguvu fulani ambayo binadam ameumbwa nayo inayoweza kumsaidia ktk mambo flani flani lakini ni kwa asilimia ndogo!!DONT BE TO STRAIGHT TO WRITTEN IDEAS

Kwa nini umeongelea dini zinazofanana tu. Dini ya kikristo, kiislam na kiyahudi zinafanana na mwanzilishi wa hizo zote anaitwa ibrahimu. Je hujui kunadini zingine zina mungu zaidi ya mmoja?
 
I read, word by word...i agree with power of MEDITATION...i use it most of time for many yrs nw...

BUT...BUT....unaanza to cross the lines #Annael ...
Kabla hatujazaliwa TULIKUWA SPERMS AND FEMALE EGGS....xy or xx chromosomes ziliungana mimba ikatongwa tukazaliwa...PERIOD...PERIOOOOOOD...!!!

Na tukifa, unazikwa kaburini, unaoza, NOWHERE TO GO....ukifa umekufaaa, kwishaaa...perioooood....!!!!

Don't cross those lines utadanganya watu hapa....kuna watu maisha yao yako hovyo humu, WATAANZA KUJIUA BUREEE WAKIZANI kuna maisha bora huko mbeleni...wako, so USIWAAMBIE WATU ETI KABLA HATUJAJA DUNIANI TULIKUWA SOMEWHERE...au baada ya KUFA TUTAENDA SOMEWHERE OR MBINGUNI....watu watajiua huku...wako watu hamnazo.....

So Bottom line, ukifa tunakulia wali na pilau, na juice, soda, maji, kisha tunakuaga, na kukuzika, ardhini, sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi... MWISHO WA HABARI YAKO...NO where utaenda baada ya hapo...!!!
About meditation kweli ina nguvu it depends how much umewekeza kifikira....in short meditation ni CONCENTRATION ya kiwango cha juu, kuhusu jambo fulani...na utafanikiwa sbb umeweka kila wazo na vitendo ktk jambo ulilo concentrate sana sana...!!! So Spirit together with actions at highly concentrated mood, long time practice...make you succeed for wht u aimed for....!!!

Mkuu it seems you don believe on God and you know nothing about Spirit either. Si ndio?
 
Samahani sana ndugu yangu hapa mimi ninaongelea Jinsi gani sisi tulivyo na nguvu na tunauwezo mkubwa sana. Nimetumia biblia tu kwa ajili ya reference. Lakini kusema kweli mimi sio mkristo na hayo mambo ya kuhusu mtumishi wa kweli au la nihisi ni kulingana na dini yako inasemaje. Mimi siyo mtu wa dini mimi ni mtu wa kuleta mwanga kwa watu. EDUCATION then KNOWLEDGE then WISDOM then POWER

Angalia tu wasikuite mungu maana wenzetu Mh!!!!!! @!
 
Nitakujibu kwa kifupi. Maana tukisema kwa upana ni steps nyingi sana unatakiwa upitie. Wengine wanasoma mpaka 13 degrees kuwa very powerful au worshipful.

Ni ile hali ya kuweza kujiunganisha na nafsi yako au kuweza kuaccess ulimwengu wa kiroho. Kufunga milango ya fahamu ya damu na nyama na kuwa ndani ya infinite dimensions world.

Mkuu labda nianze kueleza kwa kutumia mfano wa uchawi. Mkuu hata uchawi pia unafundishwa hivyo mtu yeyote anaweza kuwa mchawi endapo ataamua kuufanya huo uchawi,na inajulikana asili ya uchawi na chanzo cha nguvu yake inapatikana vp.

Sasa mie nachotaka kufahamu kuhusu hiyo meditation, ni kwamba hivi hivyo nguvu ambayo mnasema binadamu tunayo kupitia hiyo meditation hivi chanzo chake ni wapi au imetoka wapi? Na hiyo elimu yote ambayo unasema wengine wanasoma hadi degrees 13,je,unaweza kunielezea historia ya hiyo elimu japo kwa uchache?
Nauliza maswali hayo maswali hayo kwa sababu mie sioni tofauti ya hiyo meditation na ushirikina.
 
Mkuu it seems you don believe on God and you know nothing about Spirit either. Si ndio?


MUNGU siamini kabisaaaa..kabisaaaa kama yuko....i hv concrete scientific and social reasons.....before niliaminishwa yuko...but after i acquired, BRAIN POWER, A REAL KNOW HOW....nilikuja jua SIAMINI MUNGU YUKO....na usiwaze au kuona dhambi kukwambia Mungu hayuko...hukuna dhambi wala nn....acha hizo hisia za kujazwa na kudanganywa...!!

I hv reasons, na za wazii waziii....usije nipa stories za BIBLE or QURAN..!!!!

Mungu kama yuko hawezi IACHA DUNIA ITEKETEE KAMA TUONAVYO LEO.....HAIWEZEKANI WATU WABAYA WANAUA WATU WEMA KILA KUKICHA....

Haiwezekani Viongozi wauaji wawe hai, na Mungu anawaacha wanaua watu wake kwa njia mbali mbali...

Haiwezekani majanga makubwa makubwa duniani yanamaliza watu, huku Mungu yuko...

Haiwezekani Mungu ashindwe kutoa Neema kwa watu wenye laana ya UKOO wakipukutika, kizazi hadi kizazi...

Haiwezekani Mungu awe ktk kiti cha ENZI huku Duniani watu wake wanateseka huku anaona, ana kila kitu na ni watoto wake...ana kila nguvu, haiwezekani...

Mungu, kwangu is JUST FEAR OF UNKNOWNS....!!!!

Tumeaminishwa hivyo tu.....ILA UKITAKA KUJUA NASEMA KWELI.....ww TENDA MEMA, usichoke, jaribu kuwa mtu wa hekima, busara na BIDIII YA PEKEE kwa kila kitu, usichoke kujifunza ELIMU & UKWELI....jifunze kujitegemea sana....pambana na maisha yako yawe bora kwa njia njema...DUNIA ITAKULIPA VYOOOTE mema na UTAKUWA MTU TOFAUTI....!!!!

Ila KAA KANISANI AU MISIKITINI...ukeshe ukiomba, hutapata kitu, MM NAAMINI HIVI.....INGEKUWA MUNGU YUKO...DUNIA INGEBAKIA KAMA BUSTANI YA EDENI ambayo nayo ni ya kufikirika ktk biblia....

Haitakiwi mm au ww TUPATE TAABU HIVI KAMA MUNGU YUKO....haiwezekani...ndio maana mm nasali kwa meditation tu.....AU NI MKRISTO MFU TU.....nina jina na mkristo sbb wazazi wangu wametoka huko...!!!
Kanisani naenda kwa miaka mara kadhaaa hv sasa siendi kabisa...

DINI nachukulia ni ULEVI FULANI TU...Mungu huyu kama yuko HAWEZI KUACHAA KABISA KABISAA sisi wanadamu alietuumba kwa mfano na sura yake ASEMAVYO KTK VITABU VYAKE TUTESEKE....kwnn niteseka kama ANATUPENDAAA...!!?

I am a NO NOSENSE MAN...a no NOSENSE HUMAN BEING...MUNGU KAMA ANATUPENDA SANA KAMA WATOTO WAKE, HAIWEZEKANI TUTESEKE HV....sikubali hiyooo...ULISHAFIKA HOSPITALINI...au sehemu zenye majangaa..!?

SIKUBALI na haiingii akilini MUNGU KAMA YUKO, mwenye kila kituuu... ATUPENDE alafu ATUACHE KTK MATESO MAKALI HAYA YA DUNIA HII...

NAAMINI KABISA KABISAA...MUNGU HAYUKO...NA SITENDI dhambi kusema haya kwa mtu au HATA kwa HUYO MUNGU KAMA ANANISIKIA....

Haiwezekani WATU WATUMIE NGUVU ZA GIZA...huku wakijiita WACHUNGAJI...MITUME...NABII...huku wameshika biblia MUNGU ASIWAADHIBU pale pale, ili watu wake WASIPOTEE...

MM nimetembea mabara karibu yote, NORTH AMERICA, SOUTH AMERICA, ASIA, EUROPE...african countires nyingi nimeenda...CJAWAHI ONA KUNA KILEMA AU MTU KAPONYWA....au kiziwi kasikia kama HAWA WACHUNGAJI MATAPELI NA WENYE KUTUMIA NGUVU ZA GIZA wanavyodanganya watu..tena kwa kutumia maneno ya Biblia...ILA UKIANGALIAAAAA KWA AKILI NDOGO TU...KUMBE NI WATAFUTA FEDHAAAAA.....wooote ni wafanya biashara...maisha yao ni ya FAHARI KUTISHA...MUNGU angekuwepo angewamaliza hawa..sbb wanawapoteza watu wake....

Unajua UBONGO WAKO ni kitu cha ajabu sana, usipoujua huu ubongo utapata shida sana, sbb ndio unakupa data zote na fikira....ILA HIZO DATA ZINATOKA WAPI . !!? NI hv...ukiwa unasaliiiiii sanaaaa, ubongo wako unajaaa salaaaa, hizo ndio DATA...utaota sana tu UNAMUONA YESU AU MTUME MUHAMAD kila muda au UNAKEMEA MAPEPO NA YANATII AMRI...sb ndio DATA ZAKO ULIZO JAZA HUKOO....sasa kwa kutoelewa UTAANZA HADITHIA wenzako, ulivyotokewa na YESU ktk ndoto, ulivyokemea mapepo ktk ndoto...yoooote sbb HUUJUI UBONGO UNAOKUONGOZA....likewise UKIWA UNAWAZAAAA sana sanaa jambo, mfano umefiwa na mpendwa wako au mama, UTAMUOTA KILA MARA NA KUMUONA KTK NDOTO ZAKO....sbb ndio memory iliyo nyingi ktk ubongo wako, ila SIO KWELI KUWA UMEONGEA NA MAMA AU MPENDWA WAKO ALIYEKUFA....tht is brain memory inaji retrive itself...!!!

So, Ukijaza au ukijazwa ubongo UJINGA UTAKUWA MJINGA NA KUWAZA UJINGA TU na hata kutenda ujinga kabisa, ukiwaza sex sanaaa, utaota unafanya mapenzi ktk ndoto au unampendaaaaa msichana fulani kakujaa ubongoni...utamuota sana na hata sometimes unaota unafanya nae sex, au umemuoa au kakukataa au mtu mwingine kamchukua....yoooote haya ni UBONGO WAKO.....!!! Hata ukiwa unasoma sanaaa kwa kuogopa mitihani, unaota mitihani au umefeli au umefaulu au smthng associated na hayo ya masomo mara nyingi...!!!

Kuna vitu vingine unaweza kuota vya kawaida tu..tht is normal mode of BRAIN....!!!

Sasa tunajifunza nn, UKIAMINISHWA KITU, KITAANZA KUKAA KTK UBONGO WAKO....kitakua na kukua ktk ubongo wako wakati huna USHAHIDI KABISA WA KILE UNACHOAMINI wala hukijui kabisa.....so utabaki kutoa USHUHUDA wa KUOTA NDOTO uotazo, kumbe ndicho kilicho ktk ubongo wako BILA KUKIJUA....

CHUNGA SANA MAISHA YAKO...JIJUE, USIFUNGWE KAMBA, UTAKUWA MTUMWA DUNIANI....

Mungu ni WW MWENYEWE...na SHETANI NI WW MWENYEWE...SIKU NJEMA...!!
 
Huyu anajichanganya tu mkuu...

Kanukuu Biblia na kusahau mwanzoni alikuwa na msimamo upi...

Mkuu somo zuri sana but kuna kitu kinanichanya kidogo!

Sired yako iliyopita kule Jamii intelligent,
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/830124-ukweli-kuhusu-wewe-na-dunia.html
Short and clear ulisema hizi dini (Islam and christian) ni OLD WORLD ODER = OWO. ulizizodoa na kusema zinapotosha, hazimueki mtu huru kiasi cha kuweza kufikiria kwa kina. LEO VIPI????
 
Mkuu labda nianze kueleza kwa kutumia mfano wa uchawi. Mkuu hata uchawi pia unafundishwa hivyo mtu yeyote anaweza kuwa mchawi endapo ataamua kuufanya huo uchawi,na inajulikana asili ya uchawi na chanzo cha nguvu yake inapatikana vp.

Sasa mie nachotaka kufahamu kuhusu hiyo meditation, ni kwamba hivi hivyo nguvu ambayo mnasema binadamu tunayo kupitia hiyo meditation hivi chanzo chake ni wapi au imetoka wapi? Na hiyo elimu yote ambayo unasema wengine wanasoma hadi degrees 13,je,unaweza kunielezea historia ya hiyo elimu japo kwa uchache?
Nauliza maswali hayo maswali hayo kwa sababu mie sioni tofauti ya hiyo meditation na ushirikina.

Kama wewe ni mkristo. Ni kitu gani kinafanyika unapokuwa umefunga kwa maombi? Unapokuwa umefunga na kwaajili ya kuomba unakuwa unautisha mwili wako. Na ikitokea ukajifungia chumbani na kupata utulivu utakuwa unafanya meditation bila wewe kujua kuwa ile ni meditation.

Unapokuwa katika kipindi hicho cha maombi unakuwa na uwezo wa kuaccess consciousness yako. Yaani unajiunaganisha na uasili wako.

Kuhusu degree hizo 13 ni program maalum ya kwenda hatua kwa hatua kufikia lengo kuu la sisi kuja duniani. Kadir unavyozidi kufanya meditaiton utajua vitu vingi sana na utatamani uwafundishe watu wengine. Na hauwezi ukawafundisha mambo yote kwa mkupuo. Hatua ya kwanza unatakiwa ufundishe waweze kujitambua kisha wajue asili yao hala baada ya hapo wajue nguvu gani walizo nazo. Wajue uhusiano wao na watu wengine. Ni mambo mengi ya kujifunza. Na kuu kuliko yote lengo letu sisi hapa duniani ni nini? Na zaidi ya yote kufanya dunia better place for all human kind.

Nguvu ambayo uliyonayo wewe ni uchaguzi unataka uitumie kwa ajili ya nini Kama uchawi ni wewe kama mvuto ni wewe kama utawala ni wewe kama miujiza ni wewe. Haina mipaka.
 
Huyu anajichanganya tu mkuu...

Kanukuu Biblia na kusahau mwanzoni alikuwa na msimamo upi...
Mkuu nadhani nimelitolea ufafanuzi hili. Nimemjibu Mashaxizo na ninatumaini amenielewa.
 
Biblia ni kama vitabu vingine vya hadith za kale. Unajua ukitaka kuishi na kupata watu kutoka kwenye jamii fulani fanana nao kwa kitambo. Hatimaye waeleze ukweli kuwa hakuna kitu kinachoitwa mungu duniani, mungu kaumbwa na watu na sio kuwa mungu kawaumba watu. Kwa sababu watu hao wamefungwa na vifungo vya imani. Ni vyema kuwapa elimu kidogo kidogo mwisho wa siku somo litaeleweka na kuiweka dunia kuwa mahali salama kwa watu wote. Hii ndio ninayo isema NWO lazima elimu ipite kwanza na ndipo tutakapofikia kipindi cha kuweka silaha chini na kuwa kitu kimoja. Laki ni sharti mambo ya dini yafe kabisaaaaa.

Naanza kuhisi kuwa yamkini na ww ni mmoja wa watu ambao shetani kaamua kuwatumia kutimiza malengo yàke,toa sababu ya kwa nn unasema uktisto ndo chanzo cha maovu yote
 
Back
Top Bottom