Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)


Inaonyesha wewe hujaisoma Biblia ukaielewa, unagusagusa kwa hisia tu. Ngoja nikusaidie.
Hapa duniani kuna nguvu 3 kuu; nguvu ya Mungu, nguvu ya shetani na nguvu ya binadamu. Mwanadamu hana uwezo wa kiroho, hivyo anategemea nguvu ya Mungu au shetani. Usipomtegemea Mungu basi unamtegemea shetani.
Kwa kuwa unakiri wewe sio mkristo, defenetly unatumia nguvu za giza (shetani) halafu unajifariji.
Unasema kama Mungu yupo, tusingeishi kwa taabu hapa duniani. Ndio maana nakwambia hujaisoma biblia ukailewa. Biblia imeeleza kuumbwa kwa ulimwengu na vyote vilivyomo. Walikuwa wakiishi kwenye bustani ya eden. Adam na Eve walitenda dhambi wakafukuzwa. Dhambi ndio imeusababisha ulimwengu uwe wa shida.
Lakini Mungu alimtuma Yesu kuja duniani kuwakomboa wanadamu na dhambi zao. Leo ukimwamini Yesu utaokoka. Siku inakuja Yesu atakuja kuwachukua waliomwamini kwenda mbunguni. Ulimwengu mpya kwa wasiofanya dhambi unakuja.
Kumbuka ni lazima umwamini Yesu uokoke.
Acha kupoteza muda mwingi ukidanganya watu.
 
Ninaheshimu dini ya mtu yeyote. Lakini ukweli lazima tuuseme (Hakuna kitu kinachoitwa mungu wala shetani).
Unajua kifungo cha dini ni kibaya sana kuliko vifungo vyote. Ningekuomba uwe na fikra huru.
 

Maelezo yako juu ya kwa nn hauamini uwepo wa mungu ni ushahidi tosha kuwa wakati upo kwe hiyo imani yako ya awali ulikuwa haujui kwa kina unachokoamini kifupi haujui kabsaaa hicho unachokipinga,na ndo maana umeulizwa tupe ushahidi kuwa ukristu ndo chanzo cha maovu,na ukaulizwa km biblia ni kitu kiovu cha uongo mbona unatumia baadhi ya aya zake kuwaaminisha watu hiyo imani yako?,umeshindwa kujibu badala yake unatoa maelezo mareeeeeefu badala ya kubaki ndani ya swali
 
Mkuu nadhani nimelitolea ufafanuzi hili. Nimemjibu Mashaxizo na ninatumaini amenielewa.

Najua ulimjibu hivi:


Labda nikusaidie tu...

Kuitumia Biblia kama reference haina maana ndio kunakupa uhalali wa kuhalalisha unachokiwaza na kukiamini...

Shetani ameshawahi kutumia nukuu za Biblia na bado anaendelea kutumia nukuu za Biblia kwa minajili ya kupotosha [Soma kujaribiwa kwa Yesu Kristo jangwani]

Hivyo sio kila atumiaye Biblia huwa na malengo ya kujenga...
 
Nimekupata. Kumbe wewe ni mfuasi wa biblia!. Mimi naongelea fikra huru isiyo kwenye kifungo cha dini. Nilazima tufunguliwe kutoka kwenye vifungo vya dini.
 
Hapana wakuu ngoja niwambie√√

wachokox ni hawa waislam√√
sisi wakristo hatuna tatixo
 

Mkuu kumbuka roho ambayo Ni wewe Ni formless Ila mwili wako Ni form ndio uliokuwa mayai ndio utakaokufa ndio utagrow mimea but u are formless infinite hauna mwanzo wala mwisho
Ni meditation pekee itakayoweza kukupa utambuzi huo
Otherwise ni story tu au at least ukifikiria vizuri Unaweza kupata logic but ukweli wenyewe Ni kuwa na Sio kuambiwa
 

Mkuu hayo maelezo yako hayafanyi kuwa ndiyo hitimisho la kutokuwepo kwa Mungu hata kidogo. Kwa sababu kama kinachohitajika ni kujulikana kama mungu au hayupo, sasa hayo maelezo uliyoeleza hapo yanahusika vp hadi yawe ndiyo sababu za kutokuwepo kwa Mungu? Chukulia kwamba hayo matatizo yasingekuwepo ndiyo ungeamini kuwa mungu yupo?
Au je,mungu asingesema kama ana upendo pia ndiyo ungekuwa hauna sababu ya kukataa kuwa yupo?

Hiyo ni hoja dhaifu sana ambayo atheists wamekaririshwa,hivi kama uliwahi kuwa muumini wa dini yeyote hapo kabla jiulize kama uliwahi kufikiri hoja kama hiyo?

Hiyo ni hoja maalumu ya kupinga mungu tu, ukiitafakari kwa fikira zilizohuru utaona udhaifu(kibaya mnaambiwa wanaoamini mungu hawana uhuru wa mawazo).
Na pia mungu hajawaacha tu hao wanaofanyia wenzao maovu,na ndiyo maana kuna kufa na kufufuliwa ili kila mtu akalipwe kwa kila alilolitenda liwe zuri au baya huko kwa hakimu wa mahakimu.
 

Unafikiria vizuri sana mkuu
But jaribu kuchimba zaidi na kuwa flexible katika kuwaza na ikiwezekana anza breath meditation
Then utaniambia kuhusu wewe na mwili wako
Coz kuna mtu na mwili wa mtu
 
i usually don't answer people of ur type....!!! I just ignore you....!!!


 

Mkuu unashindwa kunielewa,mie siulizi faida za meditation wala inafanywa vp au ni kweli au uongo. Hebu soma vizuri maswali yangu.
 

Mkuu swala zima la kuwepo au kutokuwepo Kwa mungu Ni swala la kumezeshwa tangu ukiwa mtoto
Kwanza inabidi ujue maana ya mungu unaweza kukuta mungu Ni wewe Mwenyewe so mtu akisema mungu hayupo Ila yupo huyo mungu unakuta hajakosea
Pia inabidi uwe free thinker coz ukibase Kwa upande mmoja tu utakuwa unalazimisha logic zote zije kwako
Jaribu kuchunguza vitu bila kuwa na bias then philosophy ndio huanzia hapo
Pia kuna vitabu mbalimbali mfano soma encyclopedia britanica mada ya Christianity kuna vitu vingi vya kujifunza kuhusu asili ya neno mungu na pia kuna kitabu cha dr Adolf mihanjo kinaeleza vizuri asili ya kuanza kutumika Kwa neno mungu
So usipinge direct hivo au kujaribu kucheza sana na maneno coz utazidi kwenda mbali na ukweli
Thanks
 
Unafikiria vizuri sana mkuu
But jaribu kuchimba zaidi na kuwa flexible katika kuwaza na ikiwezekana anza breath meditation
Then utaniambia kuhusu wewe na mwili wako
Coz kuna mtu na mwili wa mtu


Baada ya hapo jaribu Death meditation
 
ww ntakujibu...!!!!

NDICHO tunachosema, HIYO SIJUI KUFUFULIWA, sijui kuponywa, sijui kuokoka, sijui lazima UWE NA YESU...ndio KUKARIRISHWA....so once ukisha kuwa BRAINWASHED AND FEEDED WITH THT FAITH...utaongea na kufanya haya UNAYOSEMA....

So ww UKO MBALI SANA NA UHALISIA...sbb ur enslaved already with that FAITH....ww ulishaona MTU AMEFUFUKA AU KUFUFULIWA...!!? Taja hata mmoja tu...ww unafuata ULICHOJAZWA KICHWANI TU..HUNA PROOF ya dunia nzima...umebakia KUFUATA USICHOKIJUA...taja sehemu yeyote umesikia mtu kafufuliwa au baada ya kufa eti tutafufuliwa...HUU NDIO UGONJWA WA AKILI...ushatekwa...so ur a slave, hujui hata UNAENDA WAPI ..so you will remain tht way all ur life...AND NOTHING U CAN SEE KWA YOOOOTE UNAYOAMBIWA....


 

Mkuu nataka kutoa explanation kidogo kuhusu hayo ulioandika
Kwanza sikuwahi kusikia juu ya degree 13
Pili meditation zipo aina nyingi but mainly is insight meditation na outside meditation
Out sight ni Kwa ajili ya visualization na insight Ni Kwa ajili ya kuongeza ufahamu wako. Hapo ndipo ufahamu kuhusu wewe unapokua na pia energy yako inaongezeka
Uchawi Ni Sanaa inayotumia vitu physically kuhamisha energy kutoka sehemu moja kwenda nyingine na hausiani kabisa na meditation
Meditation depends on nothing but meditation but uchawi unadepends on vitu
 
Baada ya hapo jaribu Death meditation

Hahaaa...i know u made a joke...!!!

ILA DEATH MEDITATION ipo pia.....DO YOU KNOW, WAISLAM wanaaminishwa wakiua aisiye mwislam au ----- walivyoaminishwa WANAENDA PEPONI...!!?

So wameaminishwa hivyo, magaidi wengii, suicide bombers, ni WAISLAM, sbb THEY BRAINWASHED kwa dini yao na wamekuwa WAKI MEDITATE KUWA WAKIUA ----- WATAENDA PEPONI....!!! ULIONA WAPI HIYO WW...!!? So hiyo ni sehemu ndogo tu jinsi mwanadamu ANAFANYWA MTUMWA NA DINI...IWE UKRISTO AU UISLAM.....ni ukichaa tu au ulevi wa akili eti UTAAMBIWA MCHUNGAJI FULANI ANAFUFUA WAFU....eeeeehhh...!!?!! hapo hapo ANAKWAMBIA ILA LAZIMA Unilipe fedha kadhaa NIKUFUFULIE NDUGU YAKO...!!? plz wake up... au baada ya kufa tutafufuliwa....!!! eboooo...!!! HII NDIO TUNAITA MENTAL SLAVERY.....!!! Tokea mtoto unaaminishwa tuuuu usichokijua, and never EXISTED....na MBAYA ZAIDI IF U QUESTION hizo IMANI HATA SEHEMU ZENYE UONGO WA WAZI WAZI KAMA HAPO JUU, utaambiwa WW SHETANI...ukiuliza shetani ni nani...!!? unamjuaje,? umekutana nae wapi.? anakaa wapi...!? Hakuna majibu....JUST KUWAFUNGA WATU KAMBA AKILI ZAO NA KUWAVUTA SEHEMU WANAYOTAKA....

HUU NDIO UTUMWA mkali sana, mental slavery...

MEDITATION ili iwe na positive results, you must AIM AT SOMETHING ELSE....be clear of tht...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…