Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
Mimi ni shuhuda. Nimefanya med. kwa muda sasa.Na yale niliyoyaomba yametimia yote
Sign nilizopata ni kuhisi kuchomwa mwili hasa miguuni kama vile sindano.Kusikia kitu kinatekenya katikati ya panda la uso.
Kujisikia kama vile kuna mtu anananisadia nikiwa nafanya jambo. I am not alone.
Nimeona niseme tu lakini wengi wetu hapa hawatanielewa maana hili ndilo somo kuu katika spiritual world.
Sign nilizopata ni kuhisi kuchomwa mwili hasa miguuni kama vile sindano.Kusikia kitu kinatekenya katikati ya panda la uso.
Kujisikia kama vile kuna mtu anananisadia nikiwa nafanya jambo. I am not alone.
Nimeona niseme tu lakini wengi wetu hapa hawatanielewa maana hili ndilo somo kuu katika spiritual world.