Mkuu nilitumia laki 3 kumtibu mdogo wangu wa kike hizo streach marks lakini hola,kwa hakika utaliwa pesa tu,dawa huwa na kufanyiwa upasuaji tu ambao unaweza kufanya filipino,thailand,india au china huko ni gharama nafuu.Nakushauri mnunulie Bio oil huwa anapaka ili zisiwe na shape ya kuchukiza.TAKE CARE,Usitumie dawa zozote zile kwani zinaleta kansa.
Michirizi ya namna gani na ipo sehemu gani mwilini?
mi nawapenda sana wanawake wa hivo full mzuka.
...ngoja alete picha...
Mimi naipenda balaa ni dalili ya nyama iliyonona
Habarini wanaMMU,
Kwa kweli siipendi ile kitu hadi basi, na huyu ni mke wangu no way out. Naombeni kama kuna dawa yeyote nzuri ya kuondoa hiyo makitu.
Mkuu asante sana, hio Bio Oil inapatikana wapi? pharmacy or maduka ya urembo
Bio-oil??
nimetamani kuingia ktk hiyo baa kupata moja moto moja baradi ipo wapi waungwana! na week end ndiyo hiyo!
mazomolwa
mmh//mazoezi yanaondoa au ni kama kinga kabla ya kupata hayo mavitu?Sio kivile kabisa.
Tena ukiwa mjamwepesi ndio uwii, unachanika kama pamba tu
Nilichogundua kusaidia ni mazoezi, ngozi sijui inakuwa tight, lakini ina nafuu.
Kama ndio hii mbona mimi nikiiona machanganyikiwa?
Hata mi siipendii jamani wanaojua dawa kujeni plizz
CORAL mi ninasisimka mwili kabisa nikiiona. I feel bad.Y
Kama ndio hii mbona mimi nikiiona machanganyikiwa?
Kama anatumia cream kweli inakera Hasa inapovimba kama anatembewa na minyoo chini ya ngozi ila kama ni vimichoro tu light vinavutia!!!
mi nawapenda sana wanawake wa hivo full mzuka.