Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Mkuu nilitumia laki 3 kumtibu mdogo wangu wa kike hizo streach marks lakini hola,kwa hakika utaliwa pesa tu,dawa huwa na kufanyiwa upasuaji tu ambao unaweza kufanya filipino,thailand,india au china huko ni gharama nafuu.Nakushauri mnunulie Bio oil huwa anapaka ili zisiwe na shape ya kuchukiza.TAKE CARE,Usitumie dawa zozote zile kwani zinaleta kansa.

Mkuu asante sana, hio Bio Oil inapatikana wapi? pharmacy or maduka ya urembo
 
Michirizi ya namna gani na ipo sehemu gani mwilini?

mi nawapenda sana wanawake wa hivo full mzuka.

...ngoja alete picha...

Mimi naipenda balaa ni dalili ya nyama iliyonona

Alama-za-michilizi-kwenye-ngozi.jpg

IMG-20130709-WA004.jpg
 
Sio kivile kabisa.

Tena ukiwa mjamwepesi ndio uwii, unachanika kama pamba tu

Nilichogundua kusaidia ni mazoezi, ngozi sijui inakuwa tight, lakini ina nafuu.

Bio-oil??
 
Sio kivile kabisa.

Tena ukiwa mjamwepesi ndio uwii, unachanika kama pamba tu

Nilichogundua kusaidia ni mazoezi, ngozi sijui inakuwa tight, lakini ina nafuu.
mmh//mazoezi yanaondoa au ni kama kinga kabla ya kupata hayo mavitu?
 
Kama anatumia cream kweli inakera Hasa inapovimba kama anatembewa na minyoo chini ya ngozi ila kama ni vimichoro tu light vinavutia!!!
 
Kama anatumia cream kweli inakera Hasa inapovimba kama anatembewa na minyoo chini ya ngozi ila kama ni vimichoro tu light vinavutia!!!

Hiyo ambayo inakuwa kama kuna minyoo ndani naigopa sana kuitazama.
 
Back
Top Bottom