Tumia mafuta ya palmers ya mgando made in u.s.a,yanapatikana kwenye maduka makubwa ya vipodozi hayana chemical,but kua makini sababu yapo ya u.s.a na pia yapo ya kenya so unaponunua angalia kwanza ni wapi yametengenezwa cheki kwenye label pemben utagundua.
Bio oil changanya na mafuta ya Nazi ya mnara yamenisaidia sana imefifia kbs
Shukran
Unasubiri nini hapo njia panda?Npo njia panda mkuu
I mean crossed ideas....and not barabara ya lami au vumbi...upo mkuu.Unasubiri nini hapo njia panda?