Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

NDIO HII? Mi naionaga hii tu, of coz haipendezaji


2402511_com_unilateral.jpg
Mkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!
a4003eaa63d2028993a84747df9399bc.jpg


-Nyerere-
 
INAITWA STRIAE
Ila maranyingi hutokea kwenye matumbo ya akina mama waliowahi kubeba mimba ( [gravidity]...
MICHIRIZI HII hutokea kutokana na kuongezeka uzito wakati wa ujauzito [MIMBA] na kufanya misuli ya mwili kutanuka [MUSCLE STRETCHING] baada ya kujifunguaa uzito hupungua na misuli hurudi ktk hali yake ya kawaida na kusababisha michirizi kwenye ngoziii,

HABARI ZA UTAMU NI UPOTOSHAJI MKUBWA
TIZAMA PICHA HAPO CHINI


[emoji116] [emoji116] [emoji116]
38cb29bea40744bf6d97be8e9f1941f9.jpg


8117d122c0dcf8b54dc0b521f0715883.jpg


f8b3556b45110922676ea4146e60df15.jpg


48db1f663ce059cdf6891500b9b4b169.jpg
 
Inatia kinyaa pale mtu anapokua na hiyo mistar then asijiweke smart
 
INAITWA STRIAE
Ila maranyingi hutokea kwenye matumbo ya akina mama waliowahi kubeba mimba ( [gravidity]...
MICHIRIZI HII hutokea kutokana na kuongezeka uzito wakati wa ujauzito [MIMBA] na kufanya misuli ya mwili kutanuka [MUSCLE STRETCHING] baada ya kujifunguaa uzito hupungua na misuli hurudi ktk hali yake ya kawaida na kusababisha michirizi kwenye ngoziii,

HABARI ZA UTAMU NI UPOTOSHAJI MKUBWA
TIZAMA PICHA HAPO CHINI


[emoji116] [emoji116] [emoji116]
38cb29bea40744bf6d97be8e9f1941f9.jpg


8117d122c0dcf8b54dc0b521f0715883.jpg


f8b3556b45110922676ea4146e60df15.jpg


48db1f663ce059cdf6891500b9b4b169.jpg
Kuna wengine zipo hadi kwenye makalio sa huwa najiuliza zinafata nn huko
 
Kwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti


Kuna wanawake wengine ipo kwenye mikono na wengine kwenye chura na wengine mpaka tumboni (waliozaa). Lakini chanzo chake ni kunenepa, ndio maana wanawake wengi wanene wana hiyo michirizi. Wale wanaodai ni michirizi ya utamu nadhani ni utashi wao tu, ila mimi nikiiona inanikera sana na wala hainiongezei ashk majinuni hata kidogo.
 
Back
Top Bottom