PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Mkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!NDIO HII? Mi naionaga hii tu, of coz haipendezaji
![]()
-Nyerere-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!NDIO HII? Mi naionaga hii tu, of coz haipendezaji
![]()
Mkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!![]()
-Nyerere-
love youKwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti
Kuna wengine zipo hadi kwenye makalio sa huwa najiuliza zinafata nn hukoINAITWA STRIAE
Ila maranyingi hutokea kwenye matumbo ya akina mama waliowahi kubeba mimba ( [gravidity]...
MICHIRIZI HII hutokea kutokana na kuongezeka uzito wakati wa ujauzito [MIMBA] na kufanya misuli ya mwili kutanuka [MUSCLE STRETCHING] baada ya kujifunguaa uzito hupungua na misuli hurudi ktk hali yake ya kawaida na kusababisha michirizi kwenye ngoziii,
HABARI ZA UTAMU NI UPOTOSHAJI MKUBWA
TIZAMA PICHA HAPO CHINI
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
![]()
![]()
![]()
![]()
mi nnayo unene na minyama uzembeee!Ina maana wasichana wote jf hamna michirizi?
hii ni ugonjwa sana mpaka kwa mbali damu zaonekanaMkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!![]()
-Nyerere-
Tunayo ila ukipaka olive oils au mafuta ya Nazi ya asili(parachute)inasaidia kuifanya isiwe na muonekano ule wa weusi inakuwa Kama inafifia so unaonekana poa mpaka mtu akuchunguze sanami nnayo unene na minyama uzembeee!
kweli mm nikinenepa ndo inakua hvyo!Tunayo ila ukipaka olive oils au mafuta ya Nazi ya asili(parachute)inasaidia kuifanya isiwe na muonekano ule wa weusi inakuwa Kama inafifia so unaonekana poa mpaka mtu akuchunguze sana
Nenepa baskweli mm nikinenepa ndo inakua hvyo!
Kwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti
Paka mkorogo itaishami nnayo unene na minyama uzembeee!