Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]kweli mm nikinenepa ndo inakua hvyo!
Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
Hakuna kitu kigumu kudeal nacho Kama stretch Mark ukishazipata utapunguza tu zisizidi na kuwa na muonekano mbaya ila kuisha completely ni ngumu kweli kwahiyo utaniacha zikianza tumboni baada ya kuwa mjamzito?Kuna wanawake wengine ipo kwenye mikono na wengine kwenye chura na wengine mpaka tumboni (waliozaa). Lakini chanzo chake ni kunenepa, ndio maana wanawake wengi wanene wana hiyo michirizi. Wale wanaodai ni michirizi ya utamu nadhani ni utashi wao tu, ila mimi nikiiona inanikera sana na wala hainiongezei ashk majinuni hata kidogo.
[emoji1] [emoji2] [emoji4] [emoji4]Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
😀😀😀Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
Watu mmezoea kuona visigino vilivyopasuka kwa kukesha mashambani, visigino vinavyochana shuka lazma uone ajabu hito michirizi ya utamu. Fanyeni haraka safari ya dodoma mji dar waachieni wenyewehuwa nikiiona appetite inakata
Wakuu polen na mishe.
Nina swali hapa wakuu.
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao au nyege?
![]()
Hakuna kitu kigumu kudeal nacho Kama stretch Mark ukishazipata utapunguza tu zisizidi na kuwa na muonekano mbaya ila kuisha completely ni ngumu kweli kwahiyo utaniacha zikianza tumboni baada ya kuwa mjamzito?
Ulivosema inakukera ukiiona ikabidi nkuulize hivoKuacha? Laahasha! Wife alikuwa nayo wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua. Baaadaye ilipungua kabisa kiasi kwamba kama imepotea kabisa. Huwezi kuacha mke kisa michirizi labda mtu kama hajui mke ni nini.
Ulivosema inakukera ukiiona ikabidi nkuulize hivo
😛😛michirizi ni ishara ya kuwa amejaa protein na vitamin za kutosha na mafuta mafuta anatakiwa akamuliwe vyote hivo
We utakuwa na ya tumbon ww...hyo txt syo ya kawaidaShetani awe nawe daima milele mpaka kaburimi
Nnayo Ndo maana nimesikitishwa na kauli yako kumbe mume anaweza kupoteza hamu kisa stretch markSawa nimekusoma mkuu. Swali la kizushi na wewe unayo mkuu?
Huyu wa hapo juu ugonjwa wa vipele. Chini michiriza baada ya kutumia madawa ya uzazi wa mpango ama baada ya ujauzito.Mkuu hivyo vipele michirizi naona iko hivi!![]()
-Nyerere-
Huo ni uneneKuna wengine zipo hadi kwenye makalio sa huwa najiuliza zinafata nn huko