Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Mimi kwa uzoefu wangu hizo kitu huwa hazifutiki kabisa, tumia kila ukijuacho. Muhimu ipende ngozi yako na usichanganye madawa, hapa huchelewi kupewa mkorogo.
Ni kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajuta
 
Ni kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajuta

Wewe unayo?
 
Yeleuuuwiiiiiiii

Sasa papuch unapaga gani


Af ndo maana mnababuka mapaja
Hiv kumbe
 
Ni kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajuta
haihusiani na unene mimi ni linene ila sina michirizi mamy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…