Mazoezi tu mama, tembea kimbia acha vinono...periodHabari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
Ni kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajutaMimi kwa uzoefu wangu hizo kitu huwa hazifutiki kabisa, tumia kila ukijuacho. Muhimu ipende ngozi yako na usichanganye madawa, hapa huchelewi kupewa mkorogo.
Ni kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajuta
NdioWewe unayo?
Yeleuuuwiiiiiiiiahaaa nina mafuta ya nywele aina tatu,ya kurefusha ,ya mba na ya kuzuia kukatika
usoni nina paka aina mbili
mikono napaka aina moja na kucha mengine na kwapa mengine
mapaja na chura napaka mengine
miguu napaka mengine ,unyayo napaka mengine na kucha za miguu napaka mengine
haihusiani na unene mimi ni linene ila sina michirizi mamyNi kweli... Hua haitoki na inazid kadri unavonenepa.. Watu wengine tu wanajaliwa kutokuwa nazo. Usipende kuiga sana kila unachoambiwa, ngozi zetu zimetofautiana. Usijiharibu ulivo mamito ukajuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]poa karibu ila usinitongoze
nitafute unione uje kuhadithia hapa !Yeleuuuwiiiiiiii
Sasa papuch unapaga gani
Af ndo maana mnababuka mapaja
Hiv kumbe
Aya mam... Ngoja ajaribu halafu atuletee mrejeshohaihusiani na unene mimi ni linene ila sina michirizi mamy
michirizi mingine ya mikorogoAya mam... Ngoja ajaribu halafu atuletee mrejesho
Mume wangu anaipenda
ahahaaaIla iwe baadhi ya maeneo..Sio mwili mzima kama Pundamilia
Ha ha ha.. Na haiwez kuwa mwili mzima..Ila iwe baadhi ya maeneo..Sio mwili mzima kama Pundamilia
nilimuona jamaa anayo kwenye churaIvi mna habar kuwa hata wanaume wana iyo michirizi!!
Daaaaa too much