Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Hii kiboko, nilikua nayo michirizi ya uzazi tumboni nikapaka parachute kimasihara sihara tu imeondoa sa hivi inaonekana kwa mbaliii....ila kama ni michirizi ya kujichubua sidhani
Sh.ngapi hiyo mdau
 
Mi naipenda ile mbaya hususani iliyopo kwenye matiti na mapajani. Nikiiona tu mzee wa ruksa anasimama wima
 
Back
Top Bottom