Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Mkuu Inategemea na stretch mark,Kuna zile ambazo zinakuwa Kama mtu kakutana na vibaka wakamchana na viwembe alafu umkute mwanamke Mwenyewe kajichubua hadi harufu Ya jasho imebadilika na kuwa ya mkorogo

Alafu kuna zile ambazo huwaga nazipenda,ambazo zimejichora juu Ya ngozi Kama punda Milia

Nikizionaga hizo huwaga nakufa kwa wenge huwaga natamani muda wote mtoto awe Kama alivyo zaliwa.
Hizohizo za kuchanwa na nyembe na vibaka zinakata moto vibaya sana
 
picha iko wapi ?
Hizi hapa
Screenshot_20190727-160818-1.jpeg
Screenshot_20190727-160809-1.jpeg
 
Kila mtu akomae na saizi yake. Sasa wewe mwanaume mzima unakuja kulialia michirizi huku akati jibu ni rahisi tu tafuta asiyekua nayo. Na sisi tukianza kulialia na uvundo wa pumbu zenu itakuaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutaanza kuoga kabla ya zoezi
 
Back
Top Bottom