Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Yes, halafu huwa hata sikumbuki Kama ninayo, kifupi haijawahi kunikera najionea sawa tu [emoji38][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]kweli unayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, halafu huwa hata sikumbuki Kama ninayo, kifupi haijawahi kunikera najionea sawa tu [emoji38][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]kweli unayo
Kwan ina ubaya gan?Michirizi ni janga la karne..
Na ilivo migumu kutoka watu wameigeuza fursa za kupiga hela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi msikia mama anasema mtoto wake ana sura mbaya hata kama ni kweli ana sura mbaya?Woi naipenda michirizi yangu haijawahi kunipa mawazo, bae anaiita mistari ya utamu
Yes, halafu huwa hata sikumbuki Kama ninayo, kifupi haijawahi kunikera najionea sawa tu [emoji38]
Woi naipenda michirizi yangu haijawahi kunipa mawazo, bae anaiita mistari ya utamu
💪💪💪
Sijawahi. Haimaanishi Kama ninaiona inavutia la hasha, ila haijawahi kuwa kero kwangu, najiona sawa. Kama itakuwa Ni kero kwa mtu mwingine Basi ni his/her problem not mineUmewahi msikia mama anasema mtoto wake ana sura mbaya hata kama ni kweli ana sura mbaya?
[emoji3][emoji3] vizuri, ila mimi nilikuwa nayo kabla hata sijapata mtoto, Ni unene i guess
Iko sehemu gani ya kwako?Sijawahi. Haimaanishi Kama ninaiona inavutia la hasha, ila haijawahi kuwa kero kwangu, najiona sawa. Kama itakuwa Ni kero kwa mtu mwingine Basi ni his/her problem not mine
Ukitanuka au kusinyaa lazima ije, swali ni ulitanuka au ulisinyaa![emoji3][emoji3] vizuri, ila mimi nilikuwa nayo kabla hata sijapata mtoto, Ni unene i guess
Mikononi, kwenye matiti, tumboni. [emoji3][emoji3] Ila sio ile michirizi meusiIko sehemu gani ya kwako?
Kuna kukonda na kunenepa.Ukitanuka au kusinyaa lazima ije, swali ni ulitanuka au ulisinyaa!
Kwan ina ubaya gan?
[emoji3][emoji3] vizuri, ila mimi nilikuwa nayo kabla hata sijapata mtoto, Ni unene i guess
[emoji3][emoji3][emoji3] safiiiYangu imekuja baada ya second born ipo kiunoni
Tukilala hubby huwa anapitisha mikono anapiga gitaa kutafutia usingizi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikononi, kwenye matiti, tumboni. [emoji3][emoji3] Ila sio ile michirizi meusi
Ipo, kama mtu Ni mweupe sana mingine inaonekana meusi Kama imevilia damuKwani kuna myeus meeyah?