Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Mkuu..Na kwa mwanaume inaitwa Michirizi ya nn?Michirizi ndo utamu wenyewe mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu..Na kwa mwanaume inaitwa Michirizi ya nn?Michirizi ndo utamu wenyewe mama.
hahaha mkuu kwa mwanaume sijawahi kuona hii kitu aseeMkuu..Na kwa mwanaume inaitwa Michirizi ya nn?
Weng ambao ni muscular hawanaga especially wanaume ila kwa wasichana ndo sana.Mkuu..Na kwa mwanaume inaitwa Michirizi ya nn?
Kwenda tu dukan or hs hrmy sio idea nzur kwanza coz huko madukan watu wapo kibiashar so utapewa vitu ving upake ambavyo vnawez kuwa unhelpful so ushaur na ushuhuda wa warembo wengine kwanza ndo idea nzur afu dukan badae.Kweli lakin kina dada wengi hawaipendi...tembelea maduka ya vipodozi kama uko dar nenda pale HS HARMONY wako pale aggrey street kkoo.
Wapo kibao mkuuhahaha mkuu kwa mwanaume sijawahi kuona hii kitu asee
Basi hili ni tatizo mkuuWapo kibao mkuu
Wanaume wengi pia wanayo kama wanawake..Sema waawake wengi wanaexpose maungo yao kutokana na mavazi wanayovaa..So ni rahisi zaidi kuiona kwa mwanamke kuliko mwanaumeWeng ambao ni muscular hawanaga especially wanaume ila kwa wasichana ndo sana.
Tuna ugonjwa unaofanana. Mie nkiona michirizi nakeshaMichirizi ndo utamu wenyewe mama.
Hivi kuna mtu ni mwembamba afu anayo hii michirizi ya utamu?Kwenda tu dukan or hs hrmy sio idea nzur kwanza coz huko madukan watu wapo kibiashar so utapewa vitu ving upake ambavyo vnawez kuwa unhelpful so ushaur na ushuhuda wa warembo wengine kwanza ndo idea nzur afu dukan badae.
Yah wapo ila wachache,coz hata ukikonda inakujaga so wengine uipata wakiwa wembamba tu but siyo wengi.Hivi kuna mtu ni mwembamba afu anayo hii michirizi ya utamu?
Yah wapo ila wachache,coz hata ukikonda inakujaga so wengine uipata wakiwa wembamba tu but siyo wengi.
Brand ipiTumia cocoa butter. Ile pure unrefined, PM if you need
Ni cocoa butter inayovunwa Ghana haijakuwa processed au branded. So ni ile bora ambayo haijachanganywa na chochoteBrand ipi
Kuna baadhi ya wanaume inatokea mapajani au kwenye misuli ya mikonohahaha mkuu kwa mwanaume sijawahi kuona hii kitu asee