Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Mi naita michirizi ya UTAMU ,hasa ikiwa nyuma ya goti
5.jpg
 
Hivi michirizi ktk mapaja ya wadada wengi husababishwa na nini? Ni suruali za kubana au sababu ni wengi wanayo japo si wote!

Stretch marks are a result of skin injury. Basically the layer of skin below the top layer comes into view due to rapid body expansion. It is not confined to women. Hata men body builders get stretch marks. One of the causes is a deficiency of elastin which one can get via diet or topical things like oils e.t.c

So

People who generally take care of their skin are less likely to get them. And even when they do it isnt as severe.

For females iko high because basically there is expansion of the pelvic area after puberty

As opposed to men

But basically expansion ikiwa rapid for anyone. Anaeza akapata stretch marks

In addition, the high levels of estrogen in women, influences much.
Estrogen stimulate synthesis of collagens, these are deposites like striations in skin.
 
Tumetofutiana sana mi nikiona mwanamke ana hiyo michirizi huwa nataka sana.
 
kwa Kiingilishi inaitwa 'stretch marks', kama jina linavyojieleza inasababishwa na ngozi kutanuka kwa mimba au unene.
Mbona hata ambao hawana mimba wanaipata. Ila mi huwa naipenda ile natural ambayo si ya chemical. Imasemekana hizo ni hormones. Inasemekana wenye nayo wamejaliwa maji mengi.
 
Mbona hata ambao hawana mimba wanaipata. Ila mi huwa naipenda ile natural ambayo si ya chemical. Imasemekana hizo ni hormones. Inasemekana wenye nayo wamejaliwa maji mengi.
Ni dalili kuwa mhusika atanenepa ngozi inafanya maandalizi
 
Nilipokua mkubwa nilipata michirizi mapajani (nyuma ya miguu) na kwenye sehemu za kiuno, ile ya mapajani ikawa inaonekana nikivaa sketi fupi sikuwa comfortable na ile hali nikaanza vaa sketi ndefu hadi sasa..... Napenda kuangalia miguu yangu hasa huku nyuma kwenye michirizi ingawa naona inapungua.
 
Nilipokua mkubwa nilipata michirizi mapajani (nyuma ya miguu) na kwenye sehemu za kiuno, ile ya mapajani ikawa inaonekana nikivaa sketi fupi sikuwa comfortable na ile hali nikaanza vaa sketi ndefu hadi sasa..... Napenda kuangalia miguu yangu hasa huku nyuma kwenye michirizi ingawa naona inapungua.
Vizuri
 
Habari warembo,je ni namna ipi sahihi ya kupunguza michiriz( stretch marks) kwenye ngozi inayosababishwa na sababu tofaut kama unene,kupungua,baada ya ujauzito n.k wenye ushuhuda wa ili atupe elimu kidogo.
 
Back
Top Bottom