Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Kabisa. Mie sina ufagio.
Mimi hiyo michirizi naionaga kwa wanawake wanene (turbo) wale wanao-abuse au kufakamia misosi na bia za ofa *pun very much intended*
Kuna wengine wenye maumbo ya kawaida wanakuwa nayo; si wanene tu.
Kashaijabutege, wewe ni faraja kubwa kwa hao wa dada wenye michirizi, maana kwa kiasi kikubwa michirizi huharibu urembo wa mdada.Wana JF,
Mwenzenu huwa nasisimka nikiona michirizi ya miguuni mwa kina mama, hasa mguu unapokuwa ni wa bia na mwororo (smooth). Mie nikiona hivyo, nywele hunisisimuka, na huba humwangukia mwenye miguu ya aina hiyo.
Hakika nia maajabu ya Mungu. Kuna siri gani katika michirizi hiyo? Mimi ni tofauti na wanaume wengine? Naomba wanasaikolojia mnisaidie.
Kashaijabutege, wewe ni faraja kubwa kwa hao wa dada wenye michirizi, maana kwa kiasi kikubwa michirizi huharibu urembo wa mdada.
Nadhani hapa kuna kukinzana na kashaijabutege,nilivyo muelewa anazungumzia michirizi ya kuvunja hungo kwao saiita"Amazimola"au siyo kashaijabutege?hii nitofauti nz unene kwa hata mimi siipendi wengine unaikuta ktk mikono hasa wanaotumia mikorogo utawaonea huruma.
Nadhani hapa kuna kukinzana na kashaijabutege,nilivyo muelewa anazungumzia michirizi ya kuvunja hungo kwao saiita"Amazimola"au siyo kashaijabutege?hii nitofauti nz unene kwa hata mimi siipendi wengine unaikuta ktk mikono hasa wanaotumia mikorogo utawaonea huruma.
Kibweka acha uchokozi mkuu nililetwa menu imepangwa hivyo ikabidi nicheke sana hata mhudumu hakujua nacheka nini!!nikachukua picha kama ukumbusho.
mmmmh
mmmmh
Why inaitwa michirizi ya utamu? Na inakua kero kivipi ikizidi?Huwa inaitwa kwa lugha nzuri michirizi ya utamu, wengi tunaipenda ila hatutaki kusema ukweli ila isizidi sana inakuwa kero zaidi kuliko raha
Why inaitwa michirizi ya utamu? Na inakua kero kivipi ikizidi?
Najua twaongelea stretch marks na sio mistari ya caro light!
Kila mwanaume ana badhi ya vitu anavyopenda ila kuna ambavyo vinapendwa na wengi zaidi kama vila makalio makubwa, miguu mikubwa na kama maziwa makubwa (siyo ya kichina lakini) ila usisahau ugonjwa wa wanaume ni macho na wanawake ni masikio. Michirizi hiyo ni mvuto wa utamu kwangu
Hiyo michirizi inasababishwa na ngozi kutanuka shauri ya unene.Ni stretch marks..no magic or anything. Wakati wengine inawakera kumbe kuna wengine inawafurahisha! Kweli binadamu kiumbe wa ajabu sana.Wanawake wanajitahidi kutafuta tiba kuiondoa kumbe kuna wenye kuitamani!
Masikio yamefanya nini
au yaliyo kama ungo:A S-alert1: