gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
wapenzi wadau,naombeni mnijulishe ni dawa gani nzr inayotoa 'strech mark' alama za tumboni zinazobaki baada ya kujifungua! Jamani zinakera mno! Kuna watu wanasema et huwa zinatoka zenyewe naturally! Sasa kama ni kweli,zinachukua muda gani bada ya uzazi! Coz for me,its almost a month and some days since nimejifungua,and the marks,are still there! Help...