Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

kuna wengine wanapata hizo michirizi sababu ya kutumia dawa za kujichubua,unakuta ni dada mwembamba lkn anayo wkt mara nyingi huwapata walio wanene.

Hao sipendi kukutano nao kabisa. Nataka natural na preferably wasio wanene sana.
 
Hiyo michirizi inasababishwa na ngozi kutanuka shauri ya unene.Ni stretch marks..no magic or anything. Wakati wengine inawakera kumbe kuna wengine inawafurahisha! Kweli binadamu kiumbe wa ajabu sana.Wanawake wanajitahidi kutafuta tiba kuiondoa kumbe kuna wenye kuitamani!

mmmh mi huwa najisikia kutapika hasa nikiona mwanamke mnene amevaa nguo ya kata mikono halafu ana michirizi na anavuja jasho aaagh na miguuni ndo kabisaaa huwa nahisi wananuka
 

mmmh mi huwa najisikia kutapika hasa nikiona mwanamke mnene amevaa nguo ya kata mikono halafu ana michirizi na anavuja jasho aaagh na miguuni ndo kabisaaa huwa nahisi wananuka

Unaonaje kama utapunguza ukali wa maneno yako maana kama wewe huwapendi kuna watu wanawapenda na kwa remarks za namna hii ni kama unakosoa uumbaji wa mola na kwa nchi za ulaya ukimwita mwanamke mnene mtagombana sana.
Usisahau siku moja utakuwa na watoto wanene au mke wako anaweza kujifungua akabadilika umbo akawa bonge la Bimbo
 
Kuna wengine wenye maumbo ya kawaida wanakuwa nayo; si wanene tu.
Mi sijaona.

Nnachojua hiyo michirizi ni ya bidada inayokula kwa kukomoa, halafu wana peleka safari kama hawana akili nzuri, halafu mazoezi hamna..

Hebu angalia watoto wasio na dhambi kama hawa hapa chini, halafu niambie michirizi hiyo ya manyama uzembe wataitoa wapi??

YouTube - The-Dream - Love King
 
Nawashangaa ninyi mnaoshangaa wanaume wanaopenda hiyo mistari ya nyege. Watu wanapenda harufu ya vikwapa...wengine wanapenda kulamba ile njia ya haja kubwa....sasa ninyi mnashangaa wanaopenda stretch marks!?! Katika mzani wa mambo ya ajabu kwenye mapenzi hilo ni jambo la kawaida sana. Nyie vipi bana.............
 
Hiyo michirizi inasababishwa na ngozi kutanuka shauri ya unene.Ni stretch marks..no magic or anything. Wakati wengine inawakera kumbe kuna wengine inawafurahisha! Kweli binadamu kiumbe wa ajabu sana.Wanawake wanajitahidi kutafuta tiba kuiondoa kumbe kuna wenye kuitamani!

Sio michirizi ya aina hiyo WoS; huyu anazungumzia michirizi fulani inayokuwa kwenye miguu karibu na paja lkwa nyuma. Hiyo hata mie huwa inanisisimua sana. Huwa kama michirizi fulani kwenye embe iliyoiva vizuri, na mara nyingi embe za aina hiyo huwa tamu sana. Bila shaka ndio maana wengine wanaamini wenye michirizi hiyo pia huwa ni watamu sana, ndio maana inaitwa michirizi ya utamu.
 
Wana JF,

Mwenzenu huwa nasisimka nikiona michirizi ya miguuni mwa kina mama, hasa mguu unapokuwa ni wa bia na mwororo (smooth). Mie nikiona hivyo, nywele hunisisimuka, na huba humwangukia mwenye miguu ya aina hiyo.

Hakika nia maajabu ya Mungu. Kuna siri gani katika michirizi hiyo? Mimi ni tofauti na wanaume wengine? Naomba wanasaikolojia mnisaidie.
Hapo kwenye red....hayo ndo mautamu tamu yenyewe, mungu anatupenda wanaume!!
 
Sio michirizi ya aina hiyo WoS; huyu anazungumzia michirizi fulani inayokuwa kwenye miguu karibu na paja lkwa nyuma. Hiyo hata mie huwa inanisisimua sana. Huwa kama michirizi fulani kwenye embe iliyoiva vizuri, na mara nyingi embe za aina hiyo huwa tamu sana. Bila shaka ndio maana wengine wanaamini wenye michirizi hiyo pia huwa ni watamu sana, ndio maana inaitwa michirizi ya utamu.
Wanawake dizaini hiyo ni watamu mno, asikuambie mtu, ukimpata katambike...!!
 
mmmhh kwa kweli nilipooana kichwa cha habari nilizani michirizi ya mikojo...
kumbe mnaongelea stretchmarks .. au sio???
 
Wana JF,

Mwenzenu huwa nasisimka nikiona michirizi ya miguuni mwa kina mama, hasa mguu unapokuwa ni wa bia na mwororo (smooth). Mie nikiona hivyo, nywele hunisisimuka, na huba humwangukia mwenye miguu ya aina hiyo.

Hakika nia maajabu ya Mungu. Kuna siri gani katika michirizi hiyo? Mimi ni tofauti na wanaume wengine? Naomba wanasaikolojia mnisaidie.

Wee ni mchina nini so ushatengeneza kemikali zako wataka kuwaibia hao dada wa kibongo, madada wa kibongo ukiwaambia masuala hayo utaona watakavyokuja dukani kwako, they are purely non sense.
 
Unaonaje kama utapunguza ukali wa maneno yako maana kama wewe huwapendi kuna watu wanawapenda na kwa remarks za namna hii ni kama unakosoa uumbaji wa mola na kwa nchi za ulaya ukimwita mwanamke mnene mtagombana sana.
Usisahau siku moja utakuwa na watoto wanene au mke wako anaweza kujifungua akabadilika umbo akawa bonge la Bimbo

Wazungu sasa sio wa kuwaiga kwani wanaelekea kwenye utaahira, hebu ona wanaruhusu ushoga katika sheria zao lakini wanaona mwanaume kuoa wake wengi ni immoral, sasa hebu pima mwenyewe kipi ni immoral kati ya hivyo viwili.
 
Sio michirizi ya aina hiyo WoS; huyu anazungumzia michirizi fulani inayokuwa kwenye miguu karibu na paja lkwa nyuma. Hiyo hata mie huwa inanisisimua sana. Huwa kama michirizi fulani kwenye embe iliyoiva vizuri, na mara nyingi embe za aina hiyo huwa tamu sana. Bila shaka ndio maana wengine wanaamini wenye michirizi hiyo pia huwa ni watamu sana, ndio maana inaitwa michirizi ya utamu.

Mungu nisaidie. MzeePunch unazidi kuniumiza. You have described it in a right way. Yaani hivyo hivyo, na si lazima mwanamke awe mnene.
 
Sio michirizi ya aina hiyo WoS; huyu anazungumzia michirizi fulani inayokuwa kwenye miguu karibu na paja lkwa nyuma. Hiyo hata mie huwa inanisisimua sana. Huwa kama michirizi fulani kwenye embe iliyoiva vizuri, na mara nyingi embe za aina hiyo huwa tamu sana. Bila shaka ndio maana wengine wanaamini wenye michirizi hiyo pia huwa ni watamu sana, ndio maana inaitwa michirizi ya utamu.

Na ushauri wa bure ni bomba zaidi kwa wanashindwa kupii..... Maaana hawa huwa watamu kama una wenge la haraka utajikuta unapii fasta na kumwacha yeye kabaki anakushangaa
 
Na ushauri wa bure ni bomba zaidi kwa wanashindwa kupii..... Maaana hawa huwa watamu kama una wenge la haraka utajikuta unapii fasta na kumwacha yeye kabaki anakushangaa

Si unaendeleza muziki
Nyie ndo wa ki 1 :A S-alert1:
 
Back
Top Bottom