gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
sasa hivi umeshakuwa mtu mzima huwezi kuwa na feature za usichna jiandae na mabadiliko zaidi ya utu uzima mama mikunjo ya usoni na mvi etc
sasa hivi umeshakuwa mtu mzima huwezi kuwa na feature za usichna jiandae na mabadiliko zaidi ya utu uzima mama mikunjo ya usoni na mvi etc
Nendeni kwa Dr wa ngozi ndugu.
Pole sn mkuu!! Hivi hilo tatizo halisababishwi na unene? Waone specialist (wa idara za dermatology) hao ulio taja labda sio specialist wa ngozi
duu kwani unawasha au unataka kuonesha tumbo na kiuno chako maana kama hauwashwi ni bora uzipotezee tu hizo michirizi..
.....kuna cream inaitwa mederma stretch marks therapy mie imenisaidia sana, nilipata stretch marks kipindi cha ujauzito ila sasa hivi kwa kutumia hii cream zote zimeondoka. Ila sasa inabidi upake muda mrefu, mie imechukua miezi 6 stretch zote kutoka.