Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msaada tafadhali kwa yeyote anaeijua dawa ya kuondoa michiriz tumboni baada ya kujifungua......thanx in advance
Kwanza Hongera na Salama yako, Je wataka dawa za kienyeji au za Pharmaciya ?msaada tafadhali kwa yeyote anaeijua dawa ya kuondoa michiriz tumboni baada ya kujifungua......thanx in advance
Kwanza Hongera na Salama yako, Je wataka dawa za kienyeji au za Pharmaciya ?
kuna michiri kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa mana hata niinapo huwa hainifurahishi kabisa.
mimi huwa nikiona kama ndo naelekea kumtokea basi nayeyusha kuulizia matokeo ya Monaco na Arsenal..then nasepa
Very true wengine ndo ugonjwa wao kabisa
Hiyo michirizi ulioiona ya mtu aliyejichubua na mavipodozi njoo kwangu nikuonyeshe michirizi yangu ya ngozi asilia inavyovutia
Bora wale wanaovaaa full suti..baibui na madera...utaishtukia uwapo nae 6 x 6 Wanaaume mnachunguzaa,ukishunguza sana kidudu chako hakitaaamka kitashindwa na kitalegea.
Kwani wanaume hawana?