Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, upo sahihi ila kumbuka chumbani me na ke hulala watupuHii michirizi tunayoijadili hapa inatokana na kutojistiri kwa dada/mama zetu.
Wangekuw wanajistiri tungekuw hatuioni,hivo tusingeijadili hapa
Ukiona michirizi ujue kitu natural hicho.
MnhuuUkiona michirizi ujue kitu natural hicho.
utamu gani kaunguzwa na mikologo nyie wanaume wa mikoani daa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]utamu mtupu huo....![]()
hii mada naona ni ya wanaume wa mikoani [emoji23] [emoji23]Hivi michirizi ktk mapaja ya wadada wengi husababishwa na nini? Ni suruali za kubana au sababu ni wengi wanayo japo si wote!
Unamaanisha wa kolomije auhii mada naona ni ya wanaume wa mikoani [emoji23] [emoji23]
washamba kweli jamaautamu gani kaunguzwa na mikologo nyie wanaume wa mikoani daa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ambao hawapo DAR MOJAUnamaanisha wa kolomije au
yan umu watu wengine wamechelewa kuja mjini [emoji23] [emoji23] [emoji23]washamba kweli jamaa
Kumbe ngoja nijitoe maana mi nipo mabwepandeambao hawapo DAR MOJA
Swadaktaa[emoji41]kwa Kiinglilishi inaitwa 'stretch marks', kama jina linavyojieleza inasababishwa na ngozi kutanuka kwa mimba au unene.
yani usakala uo kwel umepotea mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]utamu mtupu huo....![]()