Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

asante kwa elimu
naomba kuuliza.. jamani kuna dawa ya kuacha kukoroma?? ushauri tafadhali
 
Wana JF,

Mwenzenu huwa nasisimka nikiona michirizi ya miguuni mwa kina mama, hasa mguu unapokuwa ni wa bia na mwororo (smooth). Mie nikiona hivyo, nywele hunisisimuka, na huba humwangukia mwenye miguu ya aina hiyo.

Hakika nia maajabu ya Mungu. Kuna siri gani katika michirizi hiyo? Mimi ni tofauti na wanaume wengine? Naomba wanasaikolojia mnisaidie.

Nami ni kama wewe! Ha ha ha aaa
 
Habarini wanaMMU,

MODs tafadhali naomba msiihamishie jf doctor hii sredi, nimeweka huku makusudi nikiamini watu wengi wanapita huku madaktari pia mf MziziMkavu wanapita huku

Kuna hii michirizi katika miili hasa ya wanawake wanene na hata wanaume wachache pia, kwa jinsi nilivyosiipendi hadi hasira, nilikuwa nikiona mwanamke anayo hata kama mahaba lundo naghairi,

Sasa tatizo hilo limetokea kwa mke wangu baada ya kuanza kunenepa kaanza katoka hiyo michirizi. Kwa kweli siipendi ile kitu hadi basi, na huyu ni mke wangu no way out. Naombeni kama kuna dawa yeyote nzuri ya kuondoa hiyo makitu.
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi sikia dawa ya kupaka ikaponyesha, ni kuliwa hela tu.

Huwa wanafanya upasuaji wa ngozi, naskia Wema alienda kufanyiwa China.

Vinginevyo mwambie mkeo apunguze uzito kwa kiasi fulani na afanye mazoezi. Vvinginevyo atachanika kama karatasi🙂
 
Michirizi ya namna gani na ipo sehemu gani mwilini?
 
Hata mi siipendii jamani wanaojua dawa kujeni plizz
 
Sijawahi sikia dawa ya kupaka ikaponyesha, ni kuliwa hela tu.

Huwa wanafanya upasuaji wa ngozi, naskia Wema alienda kufanyiwa China.

Vinginevyo mwambie mkeo apunguze uzito kwa kiasi fulani na afanye mazoezi. Vvinginevyo atachanika kama karatasi🙂

Duh, hadi naogopa :shocked:
 
Sijawahi sikia dawa ya kupaka ikaponyesha, ni kuliwa hela tu.

Huwa wanafanya upasuaji wa ngozi, naskia Wema alienda kufanyiwa China.

Vinginevyo mwambie mkeo apunguze uzito kwa kiasi fulani na afanye mazoezi. Vvinginevyo atachanika kama karatasi🙂

Bio-oil??
 
Habarini wanaMMU,

MODs tafadhali naomba msiihamishie jf doctor hii sredi, nimeweka huku makusudi nikiamini watu wengi wanapita huku madaktari pia mf MziziMkavu wanapita huku

Kuna hii michirizi katika miili hasa ya wanawake wanene na hata wanaume wachache pia, kwa jinsi nilivyosiipendi hadi hasira, nilikuwa nikiona mwanamke anayo hata kama mahaba lundo naghairi,

Sasa tatizo hilo limetokea kwa mke wangu baada ya kuanza kunenepa kaanza katoka hiyo michirizi. Kwa kweli siipendi ile kitu hadi basi, na huyu ni mke wangu no way out. Naombeni kama kuna dawa yeyote nzuri ya kuondoa hiyo makitu.

Mkuu nilitumia laki 3 kumtibu mdogo wangu wa kike hizo streach marks lakini hola,kwa hakika utaliwa pesa tu,dawa huwa na kufanyiwa upasuaji tu ambao unaweza kufanya filipino,thailand,india au china huko ni gharama nafuu.Nakushauri mnunulie Bio oil huwa anapaka ili zisiwe na shape ya kuchukiza.TAKE CARE,Usitumie dawa zozote zile kwani zinaleta kansa.
 
Last edited by a moderator:
Siku mkienda mikumi lazima pundamilia waandamane kumwona mwenzao ameacha mila na kuanza kuvaa nguo
 
Tena ukute mtu ndo anatumia cream.. yani ndo kabisaaa
 
Back
Top Bottom