c utusaidie hapa hapa mok kutafutana tena?au dawa ina masharti mpk umpake mwenyewe mgonjwa?wenye shida hyo ya michiriz kweny ngozi wanitafute ninaweza kuwasaidia..
0754229745
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
c utusaidie hapa hapa mok kutafutana tena?au dawa ina masharti mpk umpake mwenyewe mgonjwa?wenye shida hyo ya michiriz kweny ngozi wanitafute ninaweza kuwasaidia..
0754229745
c utusaidie hapa hapa mok kutafutana tena?au dawa ina masharti mpk umpake mwenyewe mgonjwa?
c utusaidie hapa hapa mok kutafutana tena?au dawa ina masharti mpk umpake mwenyewe mgonjwa?
wenye shida hyo ya michiriz kweny ngozi wanitafute ninaweza kuwasaidia..
0754229745
mim napenda ile ya nyuma ya goti
Pole sana ila kuna tofauti ya nyama kulegea na stretch marks,hivyo basi kama unataka za kupunguza tumbo ni aloe body toning kit 150,000 product za forever living na ya kuondoa stretch marks ni alfa factor 58,500 kama utataka utanipm.
Stretch marks ndiyo zinazosabisha tumbo kulegea, hizo product za aloe vera nimezitumia zaidi ya mwaka sasa. Nilielekezwa kutumia mchanganyiko wa Alfa E factor, R3 factor, propolis cream, aloe moisturising, liquid soap, A beta care, na Absorbent C.
Mpaka sasa sijaona badiliko la tatizo langu isipokuwa ngozi kuwa laini na yenye kuang'aa vizuri. Asante kwa ushauri wako.
Pole sana ila kuna tofauti ya nyama kulegea na stretch marks,hivyo basi kama unataka za kupunguza tumbo ni aloe body toning kit 150,000 product za forever living na ya kuondoa stretch marks ni alfa factor 58,500 kama utataka utanipm.
Habari za hapa wakuu.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nimejikuta (baada ya kujifungua) nina michirizi/mpasuko wa ngozi au stretch mark kama wengine waziitavyo kitu ambacho kimesababisha tumbo langu kulegea sana nimejaribu kufanya mazoezi ili lirudi kwenye hali yake ya kawaida imeshindikana.
Naomba kama yupo anayefahamu dawa yake tadhali anisaidie hasa, hasa @JF Doctor asanteni sana.
Hakuna dawa ya kuondoa stretch marks,acha uongo.Bio oil ndio angalau inazifanya zisionekane vibaya.kuondoa stretch marks ni kufanya upasuaji tu.
Dada naomba tulia hapa tz hamna na duniani kote hakuna dawa ya kuondoa stretch marks,utatapeliwa tuu.Dawa ni surgery tuu.nilitumiaga dola 1000 kwa girl friend wangu na hamna kitu,alitumia hadi vipodozi toka US.
Kupona sio siku moja ,pia malizia dozi yako maana hata hizo forever kwao ni US,pia wewe jaribu na toning kit utaniambia,ila kadri siku zinavosogea utakuwa unaemprove.
Nashukuru Kaka kwa ushauri ila kwa FLP Product yatosha kwa muda niliotumia na gharama, labda kwa product tofauti.
Kaka yangu nakushukuru sana kwa ushauri wako.