Jinsi ya kuhakikisha kama Perfume yako uliyonunua ni Original au Fake na muda wa Ku-Expire

Jinsi ya kuhakikisha kama Perfume yako uliyonunua ni Original au Fake na muda wa Ku-Expire

Nimedownload barcode reader, please nielekeze namna ya kuitumia.kutambua bidhaa fake na expire date zake
 
Perfume nyingi zinazokuja TZ zimeshaexpire au batch number ni fake,muda wa perfume kutumika ni miaka 3 toka itengenezwe yaani miezi 36,ukibahatika kukuta perfume yako original may be imebakiza miezi 2 au 1 ku-expire

Noma sana..nimetest Hugo boss nilinunua s.h amon mzigo haujasoma. .nikatest tom Ford noir niliyoagiza u.k naambiwa inaonekana ilitengenezwa 2010. ..siku hizi nikienda kununua ntatumia hii calculator Hahaha ha...anyway bora kunukia kwanza kutokana na mazingira ya kibongo
 
Ipo kazi hapa!!!!

Wenye ujasiri wa kutupa baada ya zoezi kukamilika mpooooooooooo?????!!!
 
Noma sana..nimetest Hugo boss nilinunua s.h amon mzigo haujasoma. .nikatest tom Ford noir niliyoagiza u.k naambiwa inaonekana ilitengenezwa 2010. ..siku hizi nikienda kununua ntatumia hii calculator Hahaha ha...anyway bora kunukia kwanza kutokana na mazingira ya kibongo
Eti niliyoagiza UK! Kwani nyingine zinatokaga bulyanghulu. au nzega.
Acha ushamba.
 
Kama unatumia smart phone , just download barcode reader itakusaidia kucheki products zote...


Nikiangalia review inaonyesha wengi wanalalamika kuwa simu zinakuwa slow. Nipe uzoefu wako mkuu
 
Eeeeh si TBS watumie hyo system kuondoa uchafu madukani
 
Ipo kazi hapa!!!!

Wenye ujasiri wa kutupa baada ya zoezi kukamilika mpooooooooooo?????!!!

nina uhakika na fragrance zangu kwa sababu duka nililonunua HAWAWEZI KUUZA FAKE!!! na nimeziangalia zote zina barcode lakini hazina expiry date. Hivi perfume ina expire???

Back in the days nilipokuwa nabeba box nilikuja bongo likizo,nikaacha sanduku zima home,lina vitu zikiwemp colognes kadhaa...nikarudi after 3 yrs na nikazikuta vile vile na harufu ile ile sasa kama ni kitu cha kuexpire zingekuwa zishaharibika ningejua tu hata kwa harufu au coloration or discoloration.....
 
Noma sana..nimetest Hugo boss nilinunua s.h amon mzigo haujasoma. .nikatest tom Ford noir niliyoagiza u.k naambiwa inaonekana ilitengenezwa 2010. ..siku hizi nikienda kununua ntatumia hii calculator Hahaha ha...anyway bora kunukia kwanza kutokana na mazingira ya kibongo

SH armon ndio store ya madafu feki bongo....Nenda JDs Pharmacy ndio penyewe.
 
nina uhakika na fragrance zangu kwa sababu duka nililonunua HAWAWEZI KUUZA FAKE!!! na nimeziangalia zote zina barcode lakini hazina expiry date. Hivi perfume ina expire???

Back in the days nilipokuwa nabeba box nilikuja bongo likizo,nikaacha sanduku zima home,lina vitu zikiwemp colognes kadhaa...nikarudi after 3 yrs na nikazikuta vile vile na harufu ile ile sasa kama ni kitu cha kuexpire zingekuwa zishaharibika ningejua tu hata kwa harufu au coloration or discoloration.....


Ninachojua kwa uhakika ni kuwa hata ikipitisha muda harufu inakuwepo sasa sijui madhara mengine kama kwenye ngozi na mfumo wa hewa!!!!
 
Izo za kwenu rasasi,tafuta kioo alafu ipulizie ukiona inachuruzika kama jasho,ujue ni feki iyo kwa viwango vyenu...yaani wamezidisha maji.
Ha haaaa watu watundu sana! !!!!

Umbali toka kioo mpaka spray/pump ni upi mkuu???!!!
 
Ipo kazi hapa!!!!

Wenye ujasiri wa kutupa baada ya zoezi kukamilika mpooooooooooo?????!!!

We nani atupe!!!!!kikubwa kunukia vizuri mkuu hayo mengine tutayazingatia kwenye manunuzi safari ijayo...nasikitika hajaweka Blue 4 men au haina viwango???
 
Izo za kwenu rasasi,tafuta kioo alafu ipulizie ukiona inachuruzika kama jasho,ujue ni feki iyo kwa viwango vyenu...yaani wamezidisha maji.

Dah mkuu japokuwa umeua,ila poa ntaenda ikagua yangu nione kama nilipigwa ama vipi.
 
nina uhakika na fragrance zangu kwa sababu duka nililonunua HAWAWEZI KUUZA FAKE!!! na nimeziangalia zote zina barcode lakini hazina expiry date. Hivi perfume ina expire???

Back in the days nilipokuwa nabeba box nilikuja bongo likizo,nikaacha sanduku zima home,lina vitu zikiwemp colognes kadhaa...nikarudi after 3 yrs na nikazikuta vile vile na harufu ile ile sasa kama ni kitu cha kuexpire zingekuwa zishaharibika ningejua tu hata kwa harufu au coloration or discoloration.....
ku-expire kwa perfume kunapelekea perfume kupoteza ufanisi wake ule uliokusudiwa kama ilikuwa na uwezo wa kudumu masaa 24 hrs masaa yanaweza pungua na zingine zinabadili harufu kwa kiwango fulani,mm nilinunua EUPHORIA FOR MEN ambayo ilikuwa emepita muda wake acha tu ful kuumwa na kichwa ila sasa nimepata mzigo wenyewe ful burudani
 
Back
Top Bottom