Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Kweli umemchukia nadhani hilo tako ndio ulilompendea ukasahau mwanamke ni tabia na si tako.. Pole huo ni msalaba wako jaribu kuubeba kwanza. Ila umeshajiuliza why kisirani? Lazima kuna sababu jaribu kuitafuta
Nimecheka sana
 
Umepiga IKULU kabisa. Nirushie namba yako nikutumie hela ya kula/kunywa chochote leo
 
In summary, mdanganye saaana Kwa kila Kitu,usimkosoe na usimkasirikie,msifie saaana maana wako Kama serikali y'all awamu ya tano hawa.
 
binafsi nashukuru kwa haya machache uliyotupa ni ya muhimu sana kwa mtazamo wangu sasa hujasema kwa upande wake mwanamke anatakiwa afanye nini kwa mwanaume....maana hapa hakuna mapenzi ya mtu mmoja kila mmoja anahitaji mapenzi kutoka kwa mwenzie,,,tililika
 
Pigeni mnavyoweza
Ndugu yangu kama kweli hivo ndivo ilivyo nakushauli piga chini tu,kila shetani na mbuyu wake kisicho liziki hakiliki msanii anaolewa na msanii mwenzake,Mwisho wasiku mtagawana majengo ya serikali hasira hasara,huwez umiza kichwa kutafuta pesa then mwanamke pia akusumbue,kama unaona housegirl anakufaa piga ndan mtafune tu maisha yaendelee,MKUU nina mfano hi juu hilo, hawa viumbe n mtihani bora ukosee kujenga utaboa kuliko kusea kuoa
 
Mkuu kwanza kuhusu kummaliza nyege hilo nakuhakikishia nahakikisha anafikia "orgasm" kila ninapomuomba game. Tatizo kubwa la Atuganile ni wivu uliopitiliza ana mawazo siku nampa mwanamke mwingine huu ukuni na utundu huu nafasi take itapotea
Atuganile ameishia kiwango kipi cha elimu?
 
Hayo wanafanya wavulana...
Mwanaume hajikombi kwa mwanamke.
 

Umehitimisha vizuri...bila makofi hawa viumbe huwezi nenda nao sawa ndani ya nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…