Jinsi ya kuishi na mwanaume mkorofi mwenye visa na gubu

Jinsi ya kuishi na mwanaume mkorofi mwenye visa na gubu

Kaka yangu ana hizo sifa.
Shemeji yangu anakuwaga kimya tu na wameishi poa mwaka wa 25 huu.

Anakagua simu kupitiliza
Anarudi home kimya kimya
Hataki shem afanye biashara
Hataki marafiki
Nyumbani mwisho saa 12 jioni uonekane
Kila pesa uliyonayo ijulikane imetoka wapi

Daah shida tupu

All in all mwanamke ni kama mtoto, umleavyo ndivyo akuavyo... Mkunje angali mbichi
Kitambo sana ningeshapigana nae chini.kha..
 
Mwanamke mnyenyekevu sauti ya kwanza🎵

Mwanamke mnyenyekevu sauti ya pili🎵

Mwanamke mnyenyekevu sauti ya tatu🎵

Hallelujah
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
hahaha ww katoto na ulivo mlaini
 
Nikikukosea nakuwa mnyenyekevu,ukinikosea siwezi kuwa mnyenyekevu,yaani kosa lako then unifokee na kunikalipia nijifanye mnyenyekevu?duuuh
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
Joanah nimekumic wee panzi
 
Back
Top Bottom