Kitambo sana ningeshapigana nae chini.kha..Kaka yangu ana hizo sifa.
Shemeji yangu anakuwaga kimya tu na wameishi poa mwaka wa 25 huu.
Anakagua simu kupitiliza
Anarudi home kimya kimya
Hataki shem afanye biashara
Hataki marafiki
Nyumbani mwisho saa 12 jioni uonekane
Kila pesa uliyonayo ijulikane imetoka wapi
Daah shida tupu
All in all mwanamke ni kama mtoto, umleavyo ndivyo akuavyo... Mkunje angali mbichi
Kwanini ushangae??Kama naona vile, eti namfokea mama Theo afu kanyamaza kabisaa ntashangaa sana.
🤔🤔🤔🤔Ndugu mleta mada wewe ni kungwi?..maana umetoka kuandika Uzi wa wanawake now wanaume
We umejuaje kama mleta mada sio yeye Rose shebika?Mtoa mada ungempa credit zake mtumishi 'Rose Shebika' maana umekopi na kupaste hadi nukta
View attachment 1776336
hahaha ww katoto na ulivo mlainiAsante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu
Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
Rose Shebika ni mwanamke lakini mleta mada ni mwanaume. Kwa hivyo hawezi kuwa yeye [emoji16][emoji16][emoji16]We umejuaje kama mleta mada sio yeye Rose shebika?
Hakosagi jibu.Kwanini ushangae??
Kwanza nikuulize dada, ushaolewa?Kitambo sana ningeshapigana nae chini.kha..
😅😅hahaha ww katoto na ulivo mlaini
Chief kama kuna kitu unataka kuniuliza we niulize tuKwanza nikuulize dada, ushaolewa?
Nishakuuliza dada kwamba una ndoa tayari?Chief kama kuna kitu unataka kuniuliza we niulize tu
Kuna wakati ninayo kuna wakati sina.inategemea niko na nani na niko kwenye mazingira gani.hallelujahNishakuuliza dada kwamba una ndoa tayari?
🤣🤣wanawake hata sisi wenyewe hatujiweziHakosagi jibu.
nikajua ni kwangu tu yapo haya
hahaaa hapanaYawezekana wewe ndie shemeji yake
Joanah nimekumic wee panziAsante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu
Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi