Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
bila ngono hakuna ukimwiHivi, bila matusi, ujumbe haufiki?
Mara ngapi unaweza kuhisi tu kwa kumuona mtu kama ana maambukizi?! Na we mwenyewe unajua kichwa cha chini kisivyokuwa na akili na subira, wangapi wanajipa imani na wanazama!
Haya, umeshajua anao,na ndo umempenda.
Kwani wao si watu? Kama alivyoeleza mtoa mada,ushahidi upo,na ukweli ndo huo. Inawezekana watu wakaishi,wakafanya yao,na wasiambukizane.
Kama haya mambo huyajui ndugu yangu usiattack watu.Acha kupotosha vijana pumbavu wewe, wenye ukimwi wachukuane wenyewe kwa wenyewe.
Uchezee shilingi kwenye shimo la choo?
ape ushuhuda waeleweKama haya mambo huyajui ndugu yangu usiattack watu.
Mimi ni shahidi wa hili
Aloooh weeehpoint 1. Hata Mungu hapendi ndio maana maandiko yanasema people are perishing without knowledge.
Yaai uone moto hali alafu uingie Poor Brain dronedrake
😂😂😂😂 Fire ni hatareee na nusuhio avatari inanichekesha🤣🤣 dronedrake Poor Brain