Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Fungua play store yako, halafu angalia kiduara kilicho pembeni ya alama ya kengele click then nenda kwenye payments and subscription, halafu unsubscribe
 
Wakati Mange Kimambi ananua Magari ya kifahari na kuishi kifahari Jimboni Calfonia kwenye Jiji Pendwa la Maraha la Los Angeles,huku Tanzania kuna Mpumbavu,Zezeta,Tahira,Zwazwa,Nyang'au,Zumbukuku,Mbumbumbu,Mjinga,Limbukeni na Mkoswa akili mmoja anaihurumia 2300 ambayo anakatwa kila mwezi kwa matakwa na Kiherehere chake cha kutaka kufatilia maisha ya watu ambayo hayawezi kumsaidia chochote.

Wajinga na Mazezeta wanaopigwa hela na Mange si wewe peke yako hata humu JF yapo mengi mnooooo!.

Hivi kufuatilia maisha ya watu inawasaidia nini?


Kufuatilia maisha ya watu inawaingizia nini kwenye akaunti za benki?

Kwa mfano,mimi kujua Diamond Platnumz anafirana na Zuchu itanisaidia nini mimi Personally?

Wakati Mange anapiga Millions of Money per Month kuna mijitu hainufaiki hata na huo udharirishaji anaoufanya Mange kwenye App yake.

Mange alikaa akaumiza akili akaona Kuna Ng'ombe kadhaa Tanzania ambazo hazina Akili timamu akaona aje na Idea ya Umbea,na kupitia umbea huo Anazikamua hizo Ng'ombe kisawasawa hadi nyingine zimeishiwa maziwa zinaanza kutupigia kelele.

Wewe Raia Fulani sidhani kama uko timamu kichwani
 
Kama unatumia android bonyeza kwenye duara , chagua payment and subscriptions, chagua subscriptions alafu chagua mange app ,bonyeza cancel subscription
 
Enda kwa setting then u search β€œsubscription” then click hiyo app afu fuata maelekezo ya ku unssubscribe.
 

Attachments

  • FB89E995-9B67-4EFB-9014-E525380E2AAD.jpeg
    36.9 KB · Views: 4
  • EADECF2C-4D66-4AEB-943B-C94D188BF57D.jpeg
    42.1 KB · Views: 1
Tuambie basi aaliyah na zuchu wamefanyaje,wengine ela hatuna ya kujiunga jua kali mifukoni
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… tuzowee Mkuu.
 
WEWE NI ZEZETA,ZWAZWA, TAHIRA,PUMBAVU,JINGA,HOPELESS,ZUMBUKUKU.
 

mwanaume uko mange kimambi app na unalipia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…