Jinsi ya kujua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Utawezaje kugundua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba. Chukua besen au ndoo ya maji.

Piga nyeto au fanya ujuavyo shahawa zako zitoke alafu zimwagwe katika hicho chombo cha maji kama ni besen au ndoo ya maji.

Angalia shahawa zako kama zikizama ndani ya maji. Ndugu yangu rafiki yangu upo vizuri hunatatizo na unauwezo wa kumpa mwanamke ujauzito. Ila kama zitakuwa zinaelea tuu juu ya maji basi utakuwa na tatizo la kutompa mwanamke mimba.

Hii mbinu ilikuwa ikitumiwa na wazee wetu

Wakikugundua mapema wanakupa dawa.

Nawasilisha
 

Mimi nimejaribu mara kadhaa na naona kuna wakati zangu zinazama kabisa na hazionekani halafu kuna wakati zinaelea. Je hapa ninauwezo wa kutupia au nitakuwa tu nagongesha besela?
 

Na zikiwa katikati ya maji, sio chini wala juu itakuwa inamaanisha nini?
 
Hiyo inawahusu vijana wadogo tu, kwa sisi wakongwe ambao tushakuwa na idadi ya watoto wa kutosha hata ikitoka povu tu powa, tena tukijaribu hivyo alafu ndo zikaelea huwa tunashangilia na kuruka ruka, kwamaana hatuna haja ya ndom tena tunapokula wake za watu na vitoto vya chuo, maana tunakuwa na uhakika kuwa hakuna mimba.

kuhusi HIV usijali huwa tunawapima kabla hatujapiga peku. Sie huwa tunogopa mimba tu.
 
Mimi zangu hua zinatoka zitooooo kamba kikohozi cha chizi hua zimeshikamana kabisa duuh
 
Mimi zangu hua zinatoka zitooooo kamba kikohozi cha chizi hua zimeshikamana kabisa duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…