Jinsi ya kujua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba

Jinsi ya kujua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba

Mimi Bao la kwanza limezama-Hapa poa.
Bao la pili limekaa kati_hapa sijui Mapacha Au?
La Tatu Lipo Hapa juu! Bado nachanganyikiwa Msaada please......
 
Mimi nimejaribu mara kadhaa na naona kuna wakati zangu zinazama kabisa na hazionekani halafu kuna wakati zinaelea. Je hapa ninauwezo wa kutupia au nitakuwa tu nagongesha besela?
hizo za kichina mkuu, mimba itatungwa afu inatoweka haaa haaaa
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Utawezaje kugundua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba. Chukua besen au ndoo ya maji.

Piga nyeto au fanya ujuavyo shahawa zako zitoke alafu zimwagwe katika hicho chombo cha maji kama ni besen au ndoo ya maji.

Angalia shahawa zako kama zikizama ndani ya maji. Ndugu yangu rafiki yangu upo vizuri hunatatizo na unauwezo wa kumpa mwanamke ujauzito. Ila kama zitakuwa zinaelea tuu juu ya maji basi utakuwa na tatizo la kutompa mwanamke mimba.

Hii mbinu ilikuwa ikitumiwa na wazee wetu

Wakikugundua mapema wanakupa dawa.

Nawasilisha
Hahaha yani wewe. Umetumwa upate takwimu humu jf ni wangapi wanapiga Pu ....O.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Utawezaje kugundua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba. Chukua besen au ndoo ya maji.

Piga nyeto au fanya ujuavyo shahawa zako zitoke alafu zimwagwe katika hicho chombo cha maji kama ni besen au ndoo ya maji.

Angalia shahawa zako kama zikizama ndani ya maji. Ndugu yangu rafiki yangu upo vizuri hunatatizo na unauwezo wa kumpa mwanamke ujauzito. Ila kama zitakuwa zinaelea tuu juu ya maji basi utakuwa na tatizo la kutompa mwanamke mimba.

Hii mbinu ilikuwa ikitumiwa na wazee wetu

Wakikugundua mapema wanakupa dawa.

Nawasilisha
asante kwa utabibu wa asili
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Utawezaje kugundua kama shahawa zako zinauwezo wa kumpa mwanamke mimba. Chukua besen au ndoo ya maji.

Piga nyeto au fanya ujuavyo shahawa zako zitoke alafu zimwagwe katika hicho chombo cha maji kama ni besen au ndoo ya maji.

Angalia shahawa zako kama zikizama ndani ya maji. Ndugu yangu rafiki yangu upo vizuri hunatatizo na unauwezo wa kumpa mwanamke ujauzito. Ila kama zitakuwa zinaelea tuu juu ya maji basi utakuwa na tatizo la kutompa mwanamke mimba.

Hii mbinu ilikuwa ikitumiwa na wazee wetu

Wakikugundua mapema wanakupa dawa.

Nawasilisha
asante dr
 
Back
Top Bottom