Best Mzava
Senior Member
- Jul 20, 2012
- 135
- 10
Pamoja sana mkuu,2takuwa wote ndani ya main campus ya SUA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi tutafutana haina noma.
Pamoja sana mkuu,2takuwa wote ndani ya main campus ya SUA
Nafikiri Meal and accomodation ni 2,380,000....hii inatokana na kuwa vyuo vingi km siyo vyote vinatumia mtindo wa semester...semester 1 ni week 15,sawa na siku 115.ukiongeza wiki 2 za mtihani ni siku 119 .Hivyo kwa mwaka ni siku 238. 238x10,000= 2,380.000.
Baada ya kutoa hiyo iliyobaki igawanywe kwenye karo,field allowance,BOOK AND STATIONARY,NA SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS.
n me nko udom ada laki nane;;;;wamenipa milion mbili laki mbili na elfu tisini na saba na mia tano;;;help me'''
Mbona sielewi.!
Mi nipo duce wamenipa 3,584,500/= Tsh.!
Ada milioni 1.! Kwa hiyo nina % ngapi.?
Nisieni kujua % zangu loan ni 3343000= na tuit fees ni 1263000/= hizo ndo ngap %
Ze duduz nixaidie hv hyo accomodation ndo ile ya 7,500 per day au! alafu nisadie tena.
Nmepata 3,635,000
ada ni 1,263,000 hii ni % ngapi?
kuna jamaa kapat mil 3.5 ada mil 1.2 vp hapo
Mfano Mimi Nimepata Loan Ya Tsh.3867000/= Hii Pesa InaGAwanywa Hivi....
¤Accomodation,Meal and Stationary kwa Vyuo Vyote wanatoa= Tsh.2000000/=
¤School fees ni = Tsh.1263000/=
Total Summation inakuwa ni Tsh.3263000/=
¤Pesa Ya field inategemea na Loan Uliyopewa ambayo ni tofouti ya Tsh.386700-Tsh.3263000= Tsh.604000
NB: kwa kuangalia Hapo the money ni 10 0%
mim nimepata 3547500,ada 1.2m..na acomodation ni 1837500(7500per day..for 245 days).nna asilmia ngapi?
samahan upo Bed-ict?
nina 3998800 ada ni 1.3m hapo % ngapi?