Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!